Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Chanika

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Chanika

Pole sana mkuu ..uchumi kidogo mifukoni hauko sawa punguza kidogo mzee walau ufike4.5
 
Pole sana mkuu ..uchumi kidogo mifukoni hauko sawa punguza kidogo mzee walau ufike4.5
Mkuu nimejitahidi sana kupunguza. Kwa bei hiyo nitakuwa nimepata hasara ya 1.5m maana nilinunua 6M
 
Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu.
Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani.
Bei ni million 6.5 kutoka Million 8 niliyotangaza hapo awali. Karibuni pm tufanye biashara.

Pia nimepata wazo mbadala la kukigawa hichi kiwanja Mara mbili yaani 21 kwa 25 na kuuza 3,500,000.
So kwa atakaevutiwa anaweza kuchagua kununua chote kwa Million 6.5 au nusu kwa bei niliyotaja hapo juu. Karibuni sana wadau.

Nimelazimika kupunguza bei baada ya kukosa Wateja na ninahitaji pesa ya kuendeleza biashara zangu.

Asanteni wadau kwa ushirikiano wenu
Naona umeshusha bei mkuu. Hichi kiwanja nakitamani ila madeal yangu yote yamegoma. Pambana mkuu utauza tu
 
mkuu m5 unachukua?hali kwa sasa ni mbaya sana akuna cha semina,warsha wala overtime ni mwendo wa kutegemea mshahara tu ambao pia una makato ya kibenki
Chukua nusu kama mdau alivyoshauri hapo juu
 
Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu.
Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani.
Bei ni million 6.5 kutoka Million 8 niliyotangaza hapo awali. Karibuni pm tufanye biashara.

Pia nimepata wazo mbadala la kukigawa hichi kiwanja Mara mbili yaani 21 kwa 25 na kuuza 3,500,000.
So kwa atakaevutiwa anaweza kuchagua kununua chote kwa Million 6.5 au nusu kwa bei niliyotaja hapo juu. Karibuni sana wadau.

Nimelazimika kupunguza bei baada ya kukosa Wateja na ninahitaji pesa ya kuendeleza biashara zangu.

Asanteni wadau kwa ushirikiano wenu
Kukigawa haipendezi,kina hati kama sio shusha 3-2.5 m chapuchapu julai utauza chini mdororo wa uchumi aisee[emoji24]
 
Hizo bei mbna za zaman sana mi nnaacho 50 kwa 30 milion 4
 
Hizo bei mbna za zaman sana mi nnaacho 50 kwa 30 milion 4
Unaongelea zamanj ipi mkuu maana mi nilinunua 6M. Alafu pia hicho chako kipo wapi maana isije ikawa unaongelea bei ya Kibiti
 
Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu.
Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani.
Bei ni million 6.5 kutoka Million 8 niliyotangaza hapo awali. Karibuni pm tufanye biashara.

Pia nimepata wazo mbadala la kukigawa hichi kiwanja Mara mbili yaani 21 kwa 25 na kuuza 3,500,000.
So kwa atakaevutiwa anaweza kuchagua kununua chote kwa Million 6.5 au nusu kwa bei niliyotaja hapo juu. Karibuni sana wadau.

Nimelazimika kupunguza bei baada ya kukosa Wateja na ninahitaji pesa ya kuendeleza biashara zangu.

Asanteni wadau kwa ushirikiano wenu
Ungeweka picha ingevutia sana mkuu
 
Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu.
Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani.
Bei ni million 6.5 kutoka Million 8 niliyotangaza hapo awali. Karibuni pm tufanye biashara.

Pia nimepata wazo mbadala la kukigawa hichi kiwanja Mara mbili yaani 21 kwa 25 na kuuza 3,500,000.
So kwa atakaevutiwa anaweza kuchagua kununua chote kwa Million 6.5 au nusu kwa bei niliyotaja hapo juu. Karibuni sana wadau.

Nimelazimika kupunguza bei baada ya kukosa Wateja na ninahitaji pesa ya kuendeleza biashara zangu.

Asanteni wadau kwa ushirikiano wenu
Ungeweka picha ingevutia sana mkuu
 
Back
Top Bottom