Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tatizo bei na ni kidg sana sq316, na umbali wa chanika...punguza bei utapata mteja.Karibuni wadau kiwanja bado kipo na kipo prime areaView attachment 1423292
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu apo ni mwisho kabisa ndugu yangu siwezi punguza zaidiMkuu tatizo bei na ni kidg sana sq316, na umbali wa chanika...punguza bei utapata mteja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Urefu ngapi na upana ngapi ,unaweza kuta unajenga choo tuuHabari wakuu
Nauza kiwanja kipo chanika buyuni block 25
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 316
Kimepimwa kina hati
Bei 2m fixed
Nb gharama za serikal ya mtaa unalipa wewe
Mawasiliano
0693060922
Wakuu karibuni kimeshuka bei
Inategemea na nyumba unayotaka jenga mkuu apo pembeni kuna kingine size iyo iyo na pemejengwa nyumba kubwa tu na nafasi imebakiKidogo sana
Duh kwenye hatua sina uzoefu mkuu hicho kimepimwa kwa sqm boss urefu ni sqm 30 na upana ni 10.52 sqmSisi wengine tunajua kwa mtindo wa hatua
Upana na Urefu
msaada Chief
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wataalam watusaidie hapaSisi wengine tunajua kwa mtindo wa hatua
Upana na Urefu
msaada Chief
Sent using Jamii Forums mobile app
Chembaba sina, isije kuwa njiaDuh kwenye hatua sina uzoefu mkuu hicho kimepimwa kwa sqm boss urefu ni sqm 30 na upana ni 10.52 sqm
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni kiwanja kimepimwa kina hati miliki ya manispaa ya wizara ya ardhi
Huo wembamba ni wa kawaida tu unajenga nyumba nzuri tu kwa standard unaweza acha 1.5m hivo nyumba inafit kwenye mita 9 na ikawa nyumba nzuri sana