GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Acha ujuaji mkuu mimi nina kiwanja kilimani kila siku watu wa m370-400 wanakitakitaka sema cha familia tu ndomaana tumekaushaDodoma hakuna kiwanja cha Ml 150 hata hapo jamatini sembuse majengo huko?