Acha ujuaji mkuu mimi nina kiwanja kilimani kila siku watu wa m370-400 wanakitakitaka sema cha familia tu ndomaana tumekaushaDodoma hakuna kiwanja cha Ml 150 hata hapo jamatini sembuse majengo huko?
Sawa mkuuDodoma hakuna kiwanja cha Ml 150 hata hapo jamatini sembuse majengo huko?
Nakubaliana na wewe kuna mzee anauza 200m maeneo ya chuo cha mipango wadau wanataka kumpa 150m mzee anakataa na hiyo ilikuwa ni mwaka 2016 sijui sasa hivAcha ujuaji mkuu mimi nina kiwanja kilimani kila siku watu wa m370-400 wanakitakitaka sema cha familia tu ndomaana tumekausha
Ninashangaa hata kwanini ardhi imekua hivi Dodoma.Nakubaliana na wewe kuna mzee anauza 200m maeneo ya chuo cha mipango wadau wanataka kumpa 150m mzee anakataa na hiyo ilikuwa ni mwaka 2016 sijui sasa hiv
Square metre ngapi?Acha ujuaji mkuu mimi nina kiwanja kilimani kila siku watu wa m370-400 wanakitakitaka sema cha familia tu ndomaana tumekausha
Ila mkuu mkalama pako vizuri unaona mji wote wa dodomaNinashangaa hata kwanini ardhi imekua hivi Dodoma.
Mfano mwingine mimi mwaka 2015/206 wakati was CDA nilipewa hadi ofa ya kiwanja Mkalama square m 900 kwa mil8 name kitu ila sikukilipia akanununua mtu mwingine mshkaj wangu mwaka huu watu wanakuja mpk na M37 anakataa ni kiwanja kitupu hata hakijajengwa sasa sembuse hizo maeneo za majengo/jamatini ambako inabidi uhamishe watu ubomoe vinyumba vyao vya kiswahili vile
Ni kweli aisee kwasasa pako hot sana pale naona. Yaan mpaka leo hii najuta kumuachia yule mwamba aruke nacho. Halafu hana haraka wala niniIla mkuu mkalama pako vizuri unaona mji wote wa dodoma
Kama nusu heka hivi 500-5200 au pungufu kidogoSquare metre ngapi?
Nilipata kiwanja Kinachokaribian ukubwa N hicho maeneo ya nanenane kwa milion 9. Na bado kipo hakijauzwa wewe Unauza kwa bei hiyo huwezi pata mnunuziKiwanja kinauzwa kipo Dodoma katikati ya mji maeneo ya majengo kina ukubwa wa 35 kwa 17, kina offer.
Bei ni 230mil mwenye kuhitaji tafadhari tuwasiliane kwa namba 0622723082, naamini hutojuta kukinunua kama una mipango ya kuwekeza katikati ya mji.
Karibuni
View attachment 1874298
View attachment 1874299
View attachment 1874300
Dalali itakuaWewe ni mmiliki au dalali?
Kuwa serious mkuu! Yaani nanenane unapafananisha na majengo sokoni? Nanenane ndiyo kwanza kunaanza kuchipukia unapafananisha na katikati ya mji ulipoanzia na kwenye shuguli zote kubwa za kibiasharaNilipata kiwanja Kinachokaribian ukubwa N hicho maeneo ya nanenane kwa milion 9. Na bado kipo hakijauzwa wewe Unauza kwa bei hiyo huwezi pata mnunuzi
Yani mniuzie kiwanja alaf mnisumbue na kuanza kubomoa? Bomoeni kwanza alaf ndio mje tujadiliane bei.Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma katikati ya mji maeneo ya majengo kina ukubwa wa 35 kwa 17, kina offer.
Bei ni 230mil mwenye kuhitaji tafadhari tuwasiliane kwa namba 0622723082, naamini hutojuta kukinunua kama una mipango ya kuwekeza katikati ya mji.
Karibuni
View attachment 1874298
View attachment 1874299
View attachment 1874300
Dodoma hakuna kiwanja cha Ml 150 hata hapo jamatini sembuse majengo huko?