Thaconfession
JF-Expert Member
- Jun 16, 2021
- 301
- 590
Jamaa ana malengo na pesa yake aisee, acha acheki cheki kwanza wenye nazo, akishusha nitafanya negotiation naye!negotiate mzee. usihofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ana malengo na pesa yake aisee, acha acheki cheki kwanza wenye nazo, akishusha nitafanya negotiation naye!negotiate mzee. usihofu
Ninapatamani sana, ila msuli wangu ni mdogo sana, yaani ingekuwa 5M tungemaliza biashara chap sana,natamani ningekuwa na 8M ningelipa!Boss offer yangu kwako ni 8m. Karibu.
Pole bosi wangu. Gharama ya kiwanja tu inazidi 5M mkuu. Ukiweza kwa awamu mbili nitavumilia mkuu ila 8M is the best I can offer. Karibu sana mkuu.Ninapatamani sana, ila msuli wangu ni mdogo sana, yaani ingekuwa 5M tungemaliza biashara chap sana,natamani ningekuwa na 8M ningelipa!
Pole bosi wangu. Gharama ya kiwanja tu inazidi 5M mkuu. Ukiweza kwa awamu mbili nitavumilia mkuu ila 8M is the best I can offer. Karibu sana mkuu.
Asante kwa ushauri mkuu... Naweza kwenda na huo wa pili au wa tatu. Nikifanikisha nitakujulisha hapa bosi wanguKama unaona hakiuziki na una full documents:
Idea ya kwanza ingia bank nenda ukakope kiasi kizuri waachie hati halafu usilipe marejesho
Kazi imeisha hapo kaka [emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Idea ya pili tafuta watu wa kufanya minada kama YONO wape deal
Idea ya 3, usiwe mchoyo tafuta dalali wape kiasi unahitaji wewe waache wafanye kazi ndio maisha utakiuza haraka sana
nipe kazi udalali mkuu 0747175984,,ndio kazi yanguNipigie 0764615124 / 0710 613 913 tuongee
nakuja mwezi ujao..kama kitakuwepo ntamchukulia mwanangu..kuna kima nimezaa nae huko usumbufu mtupuWakuu hizi picha za leo za eneo kwa mliohitaji kwa simu nimewatumia na wengine karibuni mtathimini eneo.
Kwa video nichek whatsapp nikutumie nashindwa kuipandisha hapa.View attachment 1908167View attachment 1908168View attachment 1908170View attachment 1908173