- Thread starter
- #21
Nenda kaone fanya search,Exactly, mtu unafanya zako search ikiwa clearn unampandia hewani mnamaliza biashara. Ila ni kama hajiamini na anachopanga kufanya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kaone fanya search,Exactly, mtu unafanya zako search ikiwa clearn unampandia hewani mnamaliza biashara. Ila ni kama hajiamini na anachopanga kufanya.
NdioFuti za mraba?
Kama uko seriously jitahidi ukakioneNdio
Umuhimu wa eneo utauona hapa.Nauza kiwanja changu chenye hati ,huduma muhimu zipo umeme/maji. Kipo Kisera Kange na ukubwa wa zaidi ya ft 650.Bei Tsh 9500000.00. Simu 0712652110
Km uko seriously? Maskini elimu yetuKama uko seriously jitahidi ukakione
Taarifa ziko wapi?, siku hizi hakuna sababu ya kwenda field mambo yote yanaishia kwenye simu janja tu. Taarifa zitolewe watu wajue status na incumbrances if any.Nenda kaone fanya search,
Elimu yetu ina niniKm uko seriously? Maskini elimu yetu
Achana na elimu mkuu, wewe chukua ujumbe tu, lugha yenyewe hii hapo Tanga ilikuja kwa Meli mkuu.UTANi.Km uko seriously? Maskini elimu yetu
Utani peleke kule ,You have hit a wrong button broAchana na elimu mkuu, wewe chukua ujumbe tu, lugha yenyewe hii hapo Tanga ilikuja kwa Meli mkuu.UTANi.
Kasema kange... Itakua ni jirani na stendi ya kangeOhooo Hilo Eneo liko Maeneo Gani Pale Kasera (Kange)
Hapana Kange Ziko nyingi Kuna Kange ya Kasera, Kange ya Juu na Kange Stendi..Kasema kange... Itakua ni jirani na stendi ya kange
Hapo sawaHapana Kange Ziko nyingi Kuna Kange ya Kasera, Kange ya Juu na Kange Stendi..
Na Kange ya Kasera pia Ina Mitaa
😅😅😅😅Kwa utaratibu ukubwa wa kiwanja unapimwa kwa Mita sio futi, mleta uzi acha usanii sema kina Mita za mraba ngapi au sema Urefu Mita ngapi na Upana Mita ngapi utaambiwa Mita za mraba hapa hapa.
Mbona jamaa anakutetea alafu una mnanga tena.Utani peleke kule ,You have hit a wrong button bro
Kiwanja kina hati kabisa umesema, means kina vipimo Rasmi, halafu unakuja kusema kina ukubwa wa zaidi ya ft 650 kwanini usiweke vipimo vyake rasmi.huu ni Ucheshi kama sio uchizi sasa. Unakimbilia tu kuweka beiNauza kiwanja changu chenye hati ,huduma muhimu zipo umeme/maji. Kipo Kisera Kange na ukubwa wa zaidi ya ft 650.Bei Tsh 9500000.00. Simu 0712652110
Next time you need to shut up ,as......leKiwanja kina hati kabisa umesema, means kina vipimo Rasmi, halafu unakuja kusema kina ukubwa wa zaidi ya ft 650 kwanini usiweke vipimo vyake rasmi.huu ni Ucheshi kama sio uchizi sasa. Unakimbilia tu kuweka bei