Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa kipo maeneo ya Mdaura.


Mkuu vipi na kilwa road mkoloni alitumia sheria gani?
 
Ushafuta tangazo la mtu.
 
Kaka last week nilienda kijiji kimoja kinaitwa Kwala, sehemu panapojengwa Bandari kavu.. nimenunua heka 10 kwa million 5! tena nalipa kwa awamu.. hizo 20 kwa 20 kwa 3M ni ngumu kimesa...
 
Mkuu yapo mengi sana..... Ni wewe na pesa yako tu
 
Mkuu yapo mengi sana..... Ni wewe na pesa yako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…