Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
morogoro road yote mkoloni alitunga sheria hifadhi ya barabara ni mita 121.5 kutoka kati kati ya barabara kila upande...
phase one imeanza liza watu kimara mpaka kibaha.... na hii ni mpaka tunduma italiza watu...
sasa huyo wa kumuuzia milion 3 sijuii utambambika nani wakati kuna kuvunjiwa
Mkuu vipi na kilwa road mkoloni alitumia sheria gani?