Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MKUU nani anunue 20x20 huko porini
Halafu kwa hiyo bei hapati labda akamuulize bash it kama anapatakaMKUU nani anunue 20x20 huko porini
Ndio wapi hukoNdugu mteja karibu kwa maelezo zaidi, bei inapungua zaidi
Hahahahaa mnauza mapori uongo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ukiwa unalekea morogoro mikonge ya kwanza kwa nyuma kidogo
ww siyo mteja nasubiri wateja waje, kiwanja kimepimwa. wasi wasi wako wa nn?morogoro road yote mkoloni alitunga sheria hifadhi ya barabara ni mita 121.5 kutoka kati kati ya barabara kila upande...
phase one imeanza liza watu kimara mpaka kibaha.... na hii ni mpaka tunduma italiza watu...
sasa huyo wa kumuuzia milion 3 sijuii utambambika nani wakati kuna kuvunjiwa