Plot4Sale Kiwanja kinauzwa, Mkundi Morogoro, 945 meter square

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa, Mkundi Morogoro, 945 meter square

Heshima kwenu wakubwa,

Nauza kiwanja kipo Mkundi, Morogoro Mjini njia ya kwenda Dodoma, Kina ukubwa wa 945 square meters.

Ni kiwanja namba 399 block R Mkundi. Kimepimwa tayari kinasubiri hati. Nimeambatanisha baadhi ya picha za kiwanja.

Nauza Milioni 5, karibu sana.
Karibu PM kwa mawasiliano zaidi.View attachment 1458949View attachment 1458950View attachment 1458951View attachment 1458952View attachment 1459090
Kipo mkundi maeneo gani? Kwa daladala unashukia kituo gani?
 
Kiwanja hicho kimepangiwa matumizi gani kwa mujibu wa documents zako za umiliki?
Kama unaenda Dodoma ukitokea Msamvu, je kiwanja hicho kipo upande upi?
Ni umbali gani kwa makisio kutoka stendi ya daladala unaposhuka Mkundi hadi kwenye kiwanja husika?Kwenye ramani yako uliyoambatisha nimechunguza lakini sijafanikiwa kubaini suala hili
 
Kiwanja hicho kimepangiwa matumizi gani kwa mujibu wa documents zako za umiliki?
Kama unaenda Dodoma ukitokea Msamvu, je kiwanja hicho kipo upande upi?
Ni umbali gani kwa makisio kutoka stendi ya daladala unaposhuka Mkundi hadi kwenye kiwanja husika?Kwenye ramani yako uliyoambatisha nimechunguza lakini sijafanikiwa kubaini suala hili

Kiwanja ni kwa ajili ya makazi, ukitoka msamvu kwenda Dom kipo mkono wa kulia na umbali kutoka stand ya daladala ukishuka ni 1km...karibu mkuu
 
Kwa kule mkundi ukiridhia 3M nijuze,tufanye biashara,maana kwa maeneo yote yale,squata nyingi ni 1.5M -2M,so ukiona 3M inakufaa karibu inbox!
 
Back
Top Bottom