Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi amini kwa asie nacho hizo mita 18 ni mithili ya hekalu.Kiwanja kinapimwa kwa futi kama kitanda? Ukiweka kwenye mita vipimo inakuwa 18m x 11m. Sijui unajenga frame ya duka halafu ni Mvuti sasa.
acha uongo kwa ht fremu ya duka ndo mita 18*11????? acha dharau mzee, kama ww umebarikiwa kuwa na kikubwa acha na sisi tujishike tunapowezaKiwanja kinapimwa kwa futi kama kitanda? Ukiweka kwenye mita vipimo inakuwa 18m x 11m. Sijui unajenga frame ya duka halafu ni Mvuti sasa.
Hebu nipe hakika ya ukubwa wa eneo katika vipimo vya mita kisha tuwasilianemilioni 2 tajili
Madalali wa wilaya ya Temeke karibu wote wanatoa vipimo vya futi kwenye matangazo yao. Kwa kuwa wilaya hiyo wakazi wake wengi shule ndogo wanapigwa tu.Vipimo vya futi ni vya matapeli
Ha ha ha! Kaamua kutumia vipimo vya kaburi! Dah.Kiwanja kinapimwa kwa futi kama kitanda? Ukiweka kwenye mita vipimo inakuwa 18m x 11m. Sijui unajenga frame ya duka halafu ni Mvuti sasa.