Kweli nimeamini ya wahenga "mwana mwenye hekima ustili aibu ya Babaye, lakini mwana mpumbavu ufunua utupu wa mamaye" .Kiyabo huyu huyu ambaea alikuwa mwenyekiti CCJ, akahamia CHADEMA kwa mbwembwe baadae akakimbilia NRA kwa vifijo mwishowe akarudi CCM kwa kishindo (mambo haya yote ndani ya miezi isiyozidi tisa) Leo hii anasema nduyeye Mpendazoe afai hata ujumbe wa nyumba kumi! kweli kua uyaone. cha kujiuliza hapa wakati wanaanzisha CCJ na kumpokea Mpendazoe hakujua kuwa katelekeza familia? je wakati wanaenda wote CHADEMA hakujua kuwa kaka yake afai kuwa mwenyekiti wa tawi? Je wakati wanachaguliwa kuwa Mbunge wa CCM alishindwa kuwaambia WASUKUMA wenzake wa Jimbo la KISHAPU kuwa kaka yake hafai. Huyu kiyabo nadhani ni mtoto wa nje ya ndoa kifupi ni mwanaharamu mtu mwenye maadili awezi kuonyesha utupu wa kakaye hadharani ili tu ashindwe UBUNGE. Shame on u KIYABO ustahili hata kuwa kiongozi wa familia, hata mke uliyemuoa kala hasara wanao hafazali wangekuwa yatima kuliko kuwa na baba kama wewe. HASARA TUPU. Ngoja kampeni ziishe ndipo utakapojua CCM sio watu ndugu yangu utaona kwa macho yako JK na RIDHIWAN wake na MAKAMBA na JANUARY wake wakati wewe na Mpendazoe wako amtazamani usoni