mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Wakati mwingine mafanikio ya mtu ni bahati ya ulizaliwa kipindi gani.
Mnawaita watoto wa 2000 ila nikwambie ndio kizazi bora kabisa kuwahi kutokea nchini. Kizazi kinajiamini sana, kukuta mtoto anamhoji mzazi wake kwa mambo ya msingi ni kawaida.
Tuendelee... Zahir Ali Zoro ana kipaji kuliko mwanae Banana,lakini kimafanikio mtoto kamuacha mbali sana baba, maana baba alizaliwa na kukua kipindi muziki ukiwa ni amature haulipi, Kuna wasanii wengi wa bongo flavor ukiwaangalia unasema hawa wangezaliwa zamani wangekuwa vibaka tu. Neymar angezaliwa miaka kumi mbele angetwaa ballon dor bahati mbaya kaanza kushine Messi na Ronaldo wako fire.
Watoto wa 2000 wamezaliwa kipindi dunia iko katika mageuzi makubwa sana ya technology. Huitaji kulima sana au kusoma sana ili utajirike, ni ujanja ujanja wako tu. Zamani wazazi wetu walifanya kazi kwa bidii mashambani na kutusihi tusome sana ili tufanikiwe, kizazi hiki hayo hayapo.
Hali hii iliwakuta wazungu miaka ya nyuma, waliheshimu kipaji kuliko vyeti vya darasani, Bill Gates ni college dropout, Ronaldo hata sijui kama alifika secondary, Beckham hata kuandika sijui kama anajua.
Tutegemee mabilione wengi toka kwa watoto wa 2000.
Kumbuka ili uendelee unahitaji, discipline, confidence, bahati na kujua kutumia fursa zilizopo kwa wakati huo.
Mnawaita watoto wa 2000 ila nikwambie ndio kizazi bora kabisa kuwahi kutokea nchini. Kizazi kinajiamini sana, kukuta mtoto anamhoji mzazi wake kwa mambo ya msingi ni kawaida.
Tuendelee... Zahir Ali Zoro ana kipaji kuliko mwanae Banana,lakini kimafanikio mtoto kamuacha mbali sana baba, maana baba alizaliwa na kukua kipindi muziki ukiwa ni amature haulipi, Kuna wasanii wengi wa bongo flavor ukiwaangalia unasema hawa wangezaliwa zamani wangekuwa vibaka tu. Neymar angezaliwa miaka kumi mbele angetwaa ballon dor bahati mbaya kaanza kushine Messi na Ronaldo wako fire.
Watoto wa 2000 wamezaliwa kipindi dunia iko katika mageuzi makubwa sana ya technology. Huitaji kulima sana au kusoma sana ili utajirike, ni ujanja ujanja wako tu. Zamani wazazi wetu walifanya kazi kwa bidii mashambani na kutusihi tusome sana ili tufanikiwe, kizazi hiki hayo hayapo.
Hali hii iliwakuta wazungu miaka ya nyuma, waliheshimu kipaji kuliko vyeti vya darasani, Bill Gates ni college dropout, Ronaldo hata sijui kama alifika secondary, Beckham hata kuandika sijui kama anajua.
Tutegemee mabilione wengi toka kwa watoto wa 2000.
Kumbuka ili uendelee unahitaji, discipline, confidence, bahati na kujua kutumia fursa zilizopo kwa wakati huo.