Kizazi cha 2000 kitazalisha mabilionea wengi zaidi nchini kuliko waliowatangulia

Walifanya sehemu yao mkuu hivyo hivyo. Burudani tulipata kivyetu vyetu.
Kuna bendi ikiitwa tancut almasi ya iringa enzi za akina kasaloo kyanga,kyanga songa na john kitine,bendi ina wanamuziki zaidi ya 30,mtagawana sh ngapi hapo,TP Ok Jazz ilukuwa na vyombo Tani 20 na wanamuziki lundo,siku hizi unaingia mwenyewe studio unatoa hitsong unatupia mtandaoni tayari umetoboa
 
"Papaa ee, tutunzeeee, tutunzeeee" Unadhani anaimba kikongo kumbe mnaambiwa mumtunze fedha.
 
Yaani wewe muhenga umintallie watsapp mtoto wa 2000? Umetisha,hivi vitoto vinajua sana kuchezea simu na computer
 
Mafanikio Yanakuja kwa kumtanguliza mungu na kufanya kazi kwa bidii hamna ubilionea unakuja kwa drama acha kuwadanganya watu
Kama ingekuwa hivyo wanawake wa vijijini wangekuwa mabilionea,wanafanya sana kazi kwa bidii.kuhusu Mungu imekaa kiimani zaidi ndio nikaweka point ya bahati.
Trust me bidii bila bahati utaishia kukongoroka tu hakuna kitu utapata,confidence,nidhamu,na time and space,ulikuwa wapi muda fulani na ulikuwa unafanya nini kwa muda huo,swala la bidiii ni dogo sana,mtoto wa Ronaldo kafanya bidii gani,kuna waarabu wanavisima vya mafuta wanakunywa kahawa tu a ni mabilionea
 
Maisha ya bahati yalikuwa zamani Karne hii maisha yamebadilika Cha kwanza ukute kwenu Kuna mifumo ya maisha mazuri uyaendeleze lakini ubilionea kwa kuanza wewe mwenyewe ni ndoto za alinacha hao unaowataja walikuwa tayari mungu alishawapitisha kuwa bilionea pesa sio nywele kila mtu anazo
 
Ulivyo sema Beckham unahis hata kuandika hajui Uzi wako umeutia doa
 
At
Bahati hazijawahi kuwana kikomo,hata kuzaluwa familia bora ni bahati ,maana si kwa juhudi zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…