Kuna bendi ikiitwa tancut almasi ya iringa enzi za akina kasaloo kyanga,kyanga songa na john kitine,bendi ina wanamuziki zaidi ya 30,mtagawana sh ngapi hapo,TP Ok Jazz ilukuwa na vyombo Tani 20 na wanamuziki lundo,siku hizi unaingia mwenyewe studio unatoa hitsong unatupia mtandaoni tayari umetoboaWalifanya sehemu yao mkuu hivyo hivyo. Burudani tulipata kivyetu vyetu.
Tena unakuta kana degree yake kabisa ila kanauza K mtandaoni soon kanaendesha Range😄😄😄View attachment 3119157
Kuna huyu na kengine kadogo dogo kanauza k kwa kupigiwa simu na wanawake wanaochoka kuwapa k waume zao
Hakika madogo wa elfu 2 wanajiamin sana
View attachment 3119157
Kuna huyu na kengine kadogo dogo kanauza k kwa kupigiwa simu na wanawake wanaochoka kuwapa k waume zao
Hakika madogo wa elfu 2 wanajiamin sana
Huyo ni mama wa 87 mzee,View attachment 3119157
Kuna huyu na kengine kadogo dogo kanauza k kwa kupigiwa simu na wanawake wanaochoka kuwapa k waume zao
Hakika madogo wa elfu 2 wanajiamin sana
"Papaa ee, tutunzeeee, tutunzeeee" Unadhani anaimba kikongo kumbe mnaambiwa mumtunze fedha.Kuna bendi ikiitwa tancut almasi ya iringa enzi za akina kasaloo kyanga,kyanga songa na john kitine,bendi ina wanamuziki zaidi ya 30,mtagawana sh ngapi hapo,TP Ok Jazz ilukuwa na vyombo Tani 20 na wanamuziki lundo,siku hizi unaingia mwenyewe studio unatoa hitsong unatupia mtandaoni tayari umetoboa
Yaani wewe muhenga umintallie watsapp mtoto wa 2000? Umetisha,hivi vitoto vinajua sana kuchezea simu na computerWa huko Dar es salaam ila Mimi wa hapa kijijini hawawezi kunizidi chochote na haitotokea maana kama nakunywa nao ulanzi wananza kuongea pumba na Mimi naongea madini watanizidi nini hawa ?
Hawa ambao nawaibia vibuku ten vyao vya kahawa kwa kuwainstalia whatsapp na Facebook ?
Wa huko mjini labda ila wa hapa kijijini nimejihakikisha utawala wangu labda wanifukuze kijijini kwao
Kama ingekuwa hivyo wanawake wa vijijini wangekuwa mabilionea,wanafanya sana kazi kwa bidii.kuhusu Mungu imekaa kiimani zaidi ndio nikaweka point ya bahati.Mafanikio Yanakuja kwa kumtanguliza mungu na kufanya kazi kwa bidii hamna ubilionea unakuja kwa drama acha kuwadanganya watu
Ulivyo sema Beckham unahis hata kuandika hajui Uzi wako umeutia doaWakati mwingine mafanikio ya mtu ni bahati ya ulizaliwa kipindi gani.
Mnawaita watoto wa 2000 ila nikwambie ndio kizazi bora kabisa kuwahi kutokea nchini. Kizazi kinajiamini sana, kukuta mtoto anamhoji mzazi wake kwa mambo ya msingi ni kawaida.
Tuendelee... Zahir Ali Zoro ana kipaji kuliko mwanae Banana,lakini kimafanikio mtoto kamuacha mbali sana baba, maana baba alizaliwa na kukua kipindi muziki ukiwa ni amature haulipi, Kuna wasanii wengi wa bongo flavor ukiwaangalia unasema hawa wangezaliwa zamani wangekuwa vibaka tu. Neymar angezaliwa miaka kumi mbele angetwaa ballon dor bahati mbaya kaanza kushine Messi na Ronaldo wako fire.
Watoto wa 2000 wamezaliwa kipindi dunia iko katika mageuzi makubwa sana ya technology. Huitaji kulima sana au kusoma sana ili utajirike, ni ujanja ujanja wako tu. Zamani wazazi wetu walifanya kazi kwa bidii mashambani na kutusihi tusome sana ili tufanikiwe, kizazi hiki hayo hayapo.
Hali hii iliwakuta wazungu miaka ya nyuma, waliheshimu kipaji kuliko vyeti vya darasani, Bill Gates ni college dropout, Ronaldo hata sijui kama alifika secondary, Beckham hata kuandika sijui kama anajua.
Tutegemee mabilione wengi toka kwa watoto wa 2000.
Kumbuka ili uendelee unahitaji, discipline, confidence, bahati na kujua kutumia fursa zilizopo kwa wakati huo.
Bahati hazijawahi kuwana kikomo,hata kuzaluwa familia bora ni bahati ,maana si kwa juhudi zakoMaisha ya bahati yalikuwa zamani Karne hii maisha yamebadilika Cha kwanza ukute kwenu Kuna mifumo ya maisha mazuri uyaendeleze lakini ubilionea kwa kuanza wewe mwenyewe ni ndoto za alinacha hao unaowataja walikuwa tayari mungu alishawapitisha kuwa bilionea pesa sio nywele kila mtu anazo
Acha kufanya linganifu za kipuuzi, kizazi unachokitetea ndo kizazi kikicho hatarini sana kufutika kwa hapa nyumbani,kwanza kutabiri mambo yajayo ni ramli!
Kwamba wanachambia asali?Sema hawa watoto wa 2000s wanajitambua Sana hii nimeiona .
Kwamba wanachambia asali?