Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
watu kama wewe ni wale mliopitwa na wakati. Kwamba lazima kanuni igunduliwe hapa? Hujui kwamba yale yaliyogunduliwa tayari tunapaswa kujifunza? Nilisoma PCB na sasa napasua watu mafuvu, kama nisingejifunza kanuni zilizopo tayari nisubiri za ccm ingekuwaje? JIONGEZE ARIFU.Mathematics generation refers to the process of creating new mathematical ideas, concepts, theorems, formulas, or models. It involves exploring mathematical
Hebu niambie formula, concept,theory na models zilizogunduliwa hapa bongo ili tujue kweli wewe unaelewa ulichoanzishia uzi