Kizazi Cha vijana toka 1981-2001 ni vilaza Tupu!!

Kizazi Cha vijana toka 1981-2001 ni vilaza Tupu!!

Njaa ni kitu kibaya sana.
kama hadi mwanaharakati Shivji kanunulika siwezi kushangaa kuona hata huyu mwanzilishi wa huu uzi kujifanya mtafiti ili atetee maslahi ya watu fulani fulani.
 
Inasemekana kuwa yani watoto wasikuhizi ni vilaza kuliko baba zao ona bunge la katiba ona hoja za muungano utapata jibu!


Sent from my iPhone

Wewe unamtazamo wa kinyume ukiangalia mle bungeni watu wenye umri wa zaidi ya miaka 34 ni zaid ya 60% lakini mambo wanayoyafanya ni kama komedi, sasa hapo tusiwalaumu waliozaliwa baada ya viata vya Uganda.
 
Mleta mada acha viroba na uzee wako huo.
Nilikuwa sijui kama Mulugo nae kazaliwa miaka hiyo.
 
Acha utani mbona waliozaliwa kabla ya 1981 nao ni vilaza wengi wao ndiyo waliojaa kwenye taasisi za serikali, wabunge nk na wameshindwa kutuletea maendeleeo na badala yake wengi wao ni wala rushwa wakubwa, wanalala na mabint wadogo wanafunzi wanaongoza kwa kuwa na nyumba ndogo nk.

bora umwambie wazee ndo wametufkisha tulipo hapa kama walikuwa na akili mbona hatujaendelea wanaongoza kwa ufisadi mambo mengi hamna cha maana huo utafiti sijui wawapi
 
Wewe unamtazamo wa kinyume ukiangalia mle bungeni watu wenye umri wa zaidi ya miaka 34 ni zaid ya 60% lakini mambo wanayoyafanya ni kama komedi, sasa hapo tusiwalaumu waliozaliwa baada ya viata vya Uganda.

tena ndo wanatia aibu mizee mizima badala ya kuwa na hekima wamepitwa hadi na vijana
 
Hivi pale bungeni (achilia mbali kuwa utafiti huu ume-base Kwa watoto wa kimarekani aka millennials) wana-average ya umri gani? Mbona wengi Ni over life expectancy!!! Kosa la millennials Ni kuzaliwa wakati wa maendeleo ya social media and technology? Kizazi cha wazazi wao kimehusika vipi kwenye kutengeneza na kuua ajira Kwa hao 16-20s? Hili swali wamejiuliza? Kwa hao wamarekani, fedha walizowekeza kwenye vita na jeshi zisingeweza kuiweka misingi mizuri ya kiuchumi? Leo hii Yule bilionea mtoto mwasisi wa Facebook anautajiri kiasi gani kulinganisha na wengi wa hao before 1980s? Je, Facebook inaachangia kiasi gani katika Kukuza Uchumi wa marekani?
 
hakuna kizazi makini kama kilichoibuka miaka ya 80s mpaka sasa, kwani hakina walugaluga wengi, .wazee mpaka leo wameshindwa kuacha madaraka, ni dalili za wao kuwa vilaza kwa kushindwa kujipanga na kujiandaa kuwa ipo siku wangestahafu kazi. kizazi hiki kimekuja kinaishi kizungu na wazee wanaona wivu na wanaona bora waendelee kugangamala wakishindana na vijana wa dijitali mitaani wakitembea na vitoto vidogo.
hawataki kuendelea kuwa kizazi cha jembe tena, wanaogopa majani na ng'ombe. ndio maana wanang'ang'ana na madaraka.mpaka imekuwa aibu.
 
We mzee kweli mkuda!
Unadhani siasa hapa?
Kivipi mtu akisema anataka serikali tatu anakuwa kilaza?
Na jee mtu akichange mind kama baadhi ya viongozi wa Zanzibar na kukubali serikali mbili hapo hatokua kilaza?
Na jee wote wanaotetea serikali tatu wote wameanza kuzaliwa 1981!
...
We mzee unaumwa si bure!

muulize g55 walizaliwa lin
 
Hivi Mulugo kazaliwa mwaka gani?

Ndio hapo sasa,hao waliozaliwa chini ya 1981 mpaka sasa wameshika nafasi serikalini,wamevuruga nchi juu chini bora hata mkoloni,hawana hata kimoja cha mfano wala cha kujivunia,mkoloni aliacha kila kitu sawa hawa wanaojisifia kwa lipi la maana lakututishia sisi kizazi cha sasa?
 
Kapuya,chenge,na vigogo wa ccm waliotufikisha ktk umaskini huu naomba kujua wamezaliwa mwaka gani?
 
Soma hapa sijapata muda kufafanua kwa kiswahili

"Kids these days ... " At some point in every adult life, we all utter this phrase. No matter how young and hip you think you are -- use of the word "hip" notwithstanding -- one day you will spot a pair of 20-somethings in skinny jeans furiously texting away on a turquoise bicycle built for two and you will mutter, "Kids these days are obnoxious/self-absorbed/technologically obsessed." And you will be right.

But you will also be participating in a glorious tradition of generation-bashing that dates back to the first clan of cavemen that scoffed at their spoiled, lazy kids who had no idea what it was like to live without fire or really sharp rocks.

The latest generation to suffer the scorn of their elders is the so-called millennial generation, aka Generation Y, aka "The Me Me Me Generation" according to a 2013 Time cover story. Born roughly between 1981 and 2001, this is the first generation to come of age in the new millennium [source: Pew Research]. In the popular press and blog rants, millennials are routinely described as narcissistic, lazy, overly entitled, addicted to social media, and coddled by their helicopter parents in whose basements they plan to live until their mid-30s.

Millennials also are widely predicted to become the first generation in U.S. history to do worse than their parents financially. There is a powerful temptation to equate the much-maligned personality traits of millennials with their high unemployment rate -- at 16.2 percent for young people 16 to 24, it's more than twice the national average -- and limited financial prospects [source: Ayres]. But the truth, as usual, is much more complicated.

If millennials indeed become the first generation to do worse than their parents, it's less about the generation gap than the wealth gap. It's less about entitled kids who can't stand hard work than a wholesale lack of jobs that offer a living wage for someone with limited experience. In other words, it's not just the "kids these days," but the "economy these days" that we really should be moaning about.

Let's start with a summary of the economic forces working against the success of Millennials, then see if we can salvage a small scrap of hope for their future.


Sent from my iPhone


duuu
 
Mzee mbona unategemea utafiti wa marekani, Fanya wako, unawaabisha wazee wenzako
 
Inasemekana kuwa yani watoto wasikuhizi ni vilaza kuliko baba zao ona bunge la katiba ona hoja za muungano utapata jibu!


Sent from my iPhone
kwa hiyo ukilaza huo unataka kusema kuwa umebase kwenye upande wa kisiasa tu? je vip kuhusu kupevuka kiakili kuyajua mambo kiwepesi zaidi akili kukomaa kana kwamba uwezi fanya janja janja yoyte kwa kizazi hiki. huu utafiti wa uongo mi nabisha, waambie hao wazungu warudie tena kufanya huo utafiti tena...
 
Back
Top Bottom