Kizazi Cha vijana toka 1981-2001 ni vilaza Tupu!!

Nyinyi wazee ndio mmetufikisha hapa, yaani katiba imetungwa kiajabu ajabu na nyinyi mkishuhudia, unafikiri kizazi hiki unaweza kuleta katiba mbovu kama hii mliyotunga nyinyi na sisi tukaipokea?
 
Hizo fact ni za US na sii nchi kama za africa mashariki. Sisi technolojia tumeipokea baadae sana ukilinganisha na US.
Kuwa kilaza ni relative.
 
Nyinyi wazee ndio mmetufikisha hapa, yaani katiba imetungwa kiajabu ajabu na nyinyi mkishuhudia, unafikiri kizazi hiki unaweza kuleta katiba mbovu kama hii mliyotunga nyinyi na sisi tukaipokea?
You are totally manipulated na wanasiasa walioshindwa - hiyo katiba itakuwa inakuletea chakula mezani ?
 
.MAANA ya utani ni mambo ambayo sio kweli...sasa hayo unayoleta wewe ni UTANI WA KWELI..MKUU....Jiandae kwa KUPOKEA MAPOVU...YAO.....YUPO bwana mmoja pale TANGA..ana kichwa kama KOROSHO..LAKINI anapenda sana UTANI NA MASIHARA..PIA...lakini kabla hamjaanza KUTANIANA anaweka ANGALIZO KWANZA....anasema JAMANI tunafanya utani lakini utani wa kweli hapa hauna nafasi....ataonyesha kuanzia kwenye mabega kushuka chini ndy MNAWEZA KUNITANIA..ila ATAKAYEVUKA kunitania KICHWA CHANGU....huyo namuhesabu kama MGOMVI.....na UGOMVI hauna macho tusilaumiane...basi utani unaendelea..BILA TATIZO.... .sasa subiri POVU LAO...UMEPOST UTANI WA KWELI...kwahyo huo ni UGOMVI NA SIO UTANI..
 
vilaza wa nchi hii ni babu zetu na wazazi wetu. Ndio waliotufikisha hapa
 
Sikubaliani na utafiti huu. Zamani watoto akiri sana walikua na sifa ya kutopoteza Mifugo hivyo hawakupelekwa shule badala yake walipelekwa wale wasio na akiri sasahivi wote wanaenda shule ni wachache ambao ni vilaza kutokana na mazingira.
 
Trust me technology kubwa ya kisasa imegunduliwA kati ya miaka hiyo tajwa hapo kwenye mada.
 
Kama kuna ukweli vileee! Sasa maendeleo unaletewa vipi,yatafute tu.
 
Kwani viongozi wa sasa wa serikali walizaliwa mwaka gani?
 
kwani hawa wazee wanaotingizia hasara nchi hii n wa miaka ya 81-90?? nan n kilaza kama maprofesa na madk wa nch hii wenye njaa kuliko ata mchwa??
 
Walisaini mikataba na kutuletea umasikini tanzania wamezaliwa before 1981 na kwa mikataba na mambo waliofanya ni mazuzu kuliko hata reasoning ya paka
 
Please uruke mwaka 1985....mimi sio kilaza Babu
 
Kaka hixho kizazi ulikifanyia tafiti?? Uko na data au unabwabwaja tuu kindezi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…