Al maktoum
JF-Expert Member
- Nov 23, 2022
- 499
- 678
- Thread starter
- #21
Pick pick ndio kizungu Cha nchi gani hicho?!Tafadhal tuma io pesa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pick pick ndio kizungu Cha nchi gani hicho?!Tafadhal tuma io pesa mkuu
Honey of beautiesHeshima yenu wakubwa Kwa wadogo.
Nina swali gumu sana naomba mnijibuni.
Kwa anayejua PIKIPIKI kwa KIZUNGU inaitwaje naomba anisaidie.
Atakaeleta jibu sahihi zawadi yake ni vocha ya Tsh 10,000/= ( elfu kumi tu).
Asanteni sana.
tuma hio pesa kwenye namba hii 078563589
Motorcycle ni lugha ya kiingereza ikimaanisha pikipiki. Ila kwa kizungu sijui inaitwaje.motorcycle =pikipiki tuma hio pesa 078563589
Wrongmotorcycle
Wrongmotor bike njoo pm
WrongScooter
Nimejaribu hadi google translation wanaleta tafsiri tafauti kabisa.^Baba, mimi ni mtoto wa ngapi kuzaliwa?^
Kiingereza chake???
Ahaha tupe jibu basiWrong
Wrongmotor bike njoo pm
Scooter,BIKE na motor Bike siyo maneno ya kizungu hayo, yaani hapo Baado hujasema! Swali hili ni chemsha bongo tu na nilijua kuwa wengi watakosea.Ahaha tupe jibu basi
Motorcycle ina majina haya
1. Scooter
2. BIKE
3. Motor Bike
Wewe unayakataa wakati hujui, tupe majibu
Au alimaanisha kwa kiingereza?Wazungu wapo
Waczech
Waitali
Wahispania
Waholanzi
Wareno
Waingereza
Hakuna lugha za kizungu
Hakuna lugha duniani inaitwa kizungu.Kizungu ndio kilugha gani?
Safi sana! Hizo ni lugha za watu wa bara la ulaya ambao kwa kiswahili wanaoitwa WAZUNGU ambao wanaongea lugha tafauti lakini hakuna lugha Moja inayoitwa KIZUNGU.Wazungu wapo
Waczech
Waitali
Wahispania
Waholanzi
Wareno
Waingereza
Hakuna lugha za kizungu
Kwa hiyo shiling kumi yangu naipata mkuu? Nimekuachia namba hapo inbox. Nitakuja kutoa shuhuda hapa na screenshot ya malipo! Woooooooyooooooo!Safi sana! Hizo ni lugha za watu wa bara la ulaya ambao kwa kiswahili wanaoitwa WAZUNGU ambao wanaongea lugha tafauti lakini hakuna lugha Moja inayoitwa KIZUNGU.
Swali lilikuwa CHEMSHA BONGO kupima uelewa wa watu na wewe KALAGA BAGO NONGWA umelielewa na kutoa jibu sahihi japo sio la swali uliloulizwa kwahiyo nasema congratulation.