Kizungu, Kizungumkuti na kizunguzungu!

Kizungu, Kizungumkuti na kizunguzungu!

Au alimaanisha kwa kiingereza?
Hapana... chemshabongo imeanzia kwenye setup y swali. Although mahktoum anataka anipige chenga ya mwili sahiz na mm nishaagiza supu ya kuku hapa.. He should play fair! Mana asingeweka zawadi hii tungeleta mizaha kama thread nyingine tu
 
Kwa hiyo shiling kumi yangu naipata mkuu? Nimekuachia namba hapo inbox. Nitakuja kutoa shuhuda hapa na screenshot ya malipo! Woooooooyooooooo!
Jibu lako ni sahihi ila siyo la swali uliloulizwa !
Umeambiwa utaje Pikipiki kwa kizungu inaitwaje wewe umeleta jibu jingine!
Kwahiyo endelea kusubiri bro wangu, ila Asante sana kwa kucoment!
 
Jibu lako ni sahihi ila siyo la swali uliloulizwa !
Umeambiwa utaje Pikipiki kwa kizungu inaitwaje wewe umeleta jibu jingine!
Kwahiyo endelea kusubiri bro wangu, ila Asante sana kwa kucoment!
We hela yenyewe huna mkuu,sema ulikuwa unatupima akili tu. Sasa unataka jibu lindane na maneno na maneno yako wewe si ungetuwekea matipo choisi 🤣
 
Hapana... chemshabongo imeanzia kwenye setup y swali. Although mahktoum anataka anipige chenga ya mwili sahiz na mm nishaagiza supu ya kuku hapa.. He should play fair! Mana asingeweka zawadi hii tungeleta mizaha kama thread nyingine tu
😂 😂 😂 😂 😂 Waambie wakuongeze na chapati tatu, ukishiba Waambie wakupe masufiria na mabakuli uoshe mkuu, maanake hamna namna nyingine mkuu!!
 
motorcycle/motorbike.

bike ni ufupisho wa bicycle, baiskeli zilitengenezwa zamani kabla ya pikipiki, ule mfanano wa pikipiki na baiskeli ukafanya jina la bike lizoeleke kwa pikipiki pia

scooters, trikes, quad bikes zote ni aina za pikipiki sema zinatofautiana kwenye miundo
 
Back
Top Bottom