Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Hapana... chemshabongo imeanzia kwenye setup y swali. Although mahktoum anataka anipige chenga ya mwili sahiz na mm nishaagiza supu ya kuku hapa.. He should play fair! Mana asingeweka zawadi hii tungeleta mizaha kama thread nyingine tuAu alimaanisha kwa kiingereza?