Kizungumkuti Dowans


Ulihalalisha wewe na nani? Acha kutudanganya huyo uliyeongea naye naye akili yake haina akili.
 

It is true, suala liliopo sio ku-bargain kiasi cha kuwalipa hawa majambazi wakubwa ( JK + Company) bali ni kupinga kwa nguvu zote kuwalipa. Walianza na Tsh. 185 billion, baada ya kelele nyingi Ngeleja akasema ni Tsh. 94 billion na akisisitiza kwamba ni lazima Dowans walipwe. Baada ya wananchi kusimama kidete sasa fisadi mmoja (Nimrodi Mkono) akichangia hoja kwenye semina ya wabunge wa CCM alisema ataisaidia serikali kupunguza hilo deni au lifutwe kabisa! Jamani huku sio ndio kutuchezea kweli? Inakuwaje watu wachache JK, RA, Nimrodi Mkono and others watuchezee watanzania millioni 44? Hivi hatuwezi kuwashughulikia?
 
KWA UTHIBITISHO HUU WA WIZI MGONGONI MWA DOWANS, SERIKALI IJIUZULU MARA MOJA

Kwa mtaji wa taarifa hii KUTHIBITISHA VIONGOZI WETU SERIKALINI kutulazimisha visivyohalali kulipa Dowans na hatimaye hii siri nzito kutufikia walipakodi masikioni basi kwa pamoja Watanzania hatuna lingine tena

Kwa pamoja tunasema Kikwete, Rostam Azizi, Nimrod Mkono, Nazir Karamagi, Balozi Maajar, Ngeleja, Chenge, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madalali wenu wengine wengi zaidi, tunasema MJIUZULU MARAMOJA!!!!

Na nyinyi vyama vya upinzani, asai za kiraia na wanaharakati mbali mbali mkiendelea kunyamazia zaidi HICHI KITHIBITISHO CHA WIZI WA KODI ZETU iliokua iliokua ikilazimishwa na Kikwete na CCM na hatimaye Mungu kutuletea uthibitisho huu, basi watu tutawageukeni na nyinyi na kuonana wabaya hapa!

Kwa taarifa hii Serikali ya CCM ijiuzulu sasa hivi na wala si kusubiri zaidi. Hii na hatarii!!!
 
 
Wewe ndiyo unazidi kututia hasira tu. Bora ungekaa kimya. Huyo bodi member uliyekutana naye mshauri aache kusinzia kwenye vikao

Duh ! Haha. Ah ha kweli. Haswa. Huyo mjumbe. Alikua kalala. Ama anandoto. Za mchana. Hata huyu. Alie post. Siajabu. Ni wale wale. Ambao wako kwenye. Mgao damn it
 
halipwi mtu!! gia zote za kutokea zitakwama itabidi mshuke nje na kusukuma! tatizo ni mlima haukweleki!
 
Tanesco ni shirika la nani kwani ? wewe hata muundo huujui kumbe tukusaidiaje sijui

I guess you have a cripple mind badala ya kujibu swali unauliza swali btw this is what we call erinaceous you are just partaining to the hedgehog
 

Huyo aliyekwambia hajasoma hukumu ya ICC! nashauri na wewe uisome ndipo utajua kwamba issue ilikuwa ni uvunjaji wa mkataba
 
halipwi mtu!! gia zote za kutokea zitakwama itabidi mshuke nje na kusukuma! tatizo ni mlima haukweleki!

Kwa kweli hilo sasa liko wazi. Kelele za watu wengi wa ngazi mbalimbali zimewezesha hili. Lakini kuna kelele na jitihada za watu wachache sana ambazo zimesukuma wengine kushiriki kupiga kelele. Naomba Mkuu Mwanakijiji nikupe tuzo hiyo kwa jitihada zako za kufuatilia kwa makini na kuanzisha mijadala kuhusu Richmond na Dowans hapa JF.

Pengine hapa JF tuanzishe tuzo kwa watu wanaopambana na ufisadi, nitakuwa radhi kuchangia. Ni vigumu kupima kiwango cha uzalendo ambacho baadhi ya members wa JF wanaonesha kwa vitendo na impact yake kwe jamii yetu.

Lakini hii isiwe na maana kwamba kila mtu sasa akurupuke kuonesha kwamba yeye ni mpambanaji!!
 

Pambafu....
 
Mwanakijiji wewe unasema .....halipwi mtu!! gia zote za kutokea zitakwama itabidi mshuke nje na kusukuma! tatizo ni mlima haukweleki!

Haki ya Kweli NAKWAMBIA lazima TUWALIPE Dowanz, piga ua Galagaza TUNAWALIPA . JK na wambunge wake Juzi wameshabariki Malipo ni nani ATAKAYEZUIA.

Tuache Kupiga kelele humu ndani na TUKUBALI kuwa TUNAWALIPA DOWANS. FULL STOP
 
MAOMBI ya madai ya usajili wa Tuzo ya Kampuni ya Dowans yamewasilishwa Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam na kusajiliwa kwa kupewa namba ya usajili nane ya mwaka huu.


Dowans ilishinda kesi ya madai dhidi ya TANESCO katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Kibiashara (ICC) na kuamuliwa TANESCO kumlipa Dowans Sh Bilioni 94.

Naibu msajili mwandamizi wa mahakama hiyo, Salvatory Mwongole, alisema jana kuwa maombi hayo yameifikia mahakama hiyo januari 25 mwaka huu na yamewasilishwa na wakili wa kampuni hiyo hapa nchini kutoka kampuni ya uwakili ya Kennedy Fungamtama.

Mwongole alisema maombi hayo yamekwisha pangiwa jaji lakini kulingana na unyeti wa suala hilo jina la jaji linahifadhiwa kwasababu ndio kwanza ameteuliwa kushughulikia maombi ya usajili huo na jalada halijamfikia.

Alisema maombi hayo ya usajili yameombwa na kampuni ya Dowans Holdings S.A na Dowans Tanzania dhidi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).

Source: Michuzi.


Huyu Fungamtama alishauri tusipolipa nchi haitapata misaada!!
 
Kennedy,kumbe pesa zako na vimbwembwe vyako vya kinyani zinapatikana kwa stahili za namna hii,SHAME ON YOU.The other day nakusoma unashauri hizo pesa lazima zilipwe kumbe ulikuwa unaweka mazingira sawa,uniuwe kabla sijakupata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…