fide772002
Member
- May 25, 2009
- 5
- 1
Jana kwenye pita pita yangu nilikutana na Mjumbe mmoja wa Bodi ya Tanesco. Katika maongezi nae nilimuulizia kuhusu suala la Dowans. Kwenye maelezo yake ni kuwa malipo ya Dowans ni halali kabisa, kwani wanacho kidai ni gharama za umeme ambao wao walizalisha na hawakuwahi kulipwa na Tanesco mpaka mkataba pale ulipo vunjwa.
Kwa maana hiyo basi, wanadai hela yao halali kabisa ambayo umeme ulizalishwa na mie na wewe tuliutumia. Sasa hapo malipo ambayo sio halali ni yepi ? au tuna nia ya kudhulumu haki za watu ?.
Na kuhusu hukumu ya mahakama ya ICC wao vitu walivyo uliza ni vichache tu, kama mitambo ipo wapi ? ilizalisha umeme au haikuzalisha ? huko nyuma walikuwa wanawalipa au hawakuwalipa? Mkataba ulivunjwa kabla ya muda ?. Majibu ya maswali yote hayo ni ndio, ndipo mahakama ikatoa huku ya Dowans kulipwa haki yao kwa kile walichotuzalishia na kukitumia.
mkuu genius, hadithi yako ni tamu sana. alikufundisha nani? alikuambia ina maana gani?
habari nilizozipata usiku wa jana ambazo ni za kweli ni kwamba dowans wameshalipwa,kwa ufupi watanzania tumeshapigwa changa la macho.na nyie wadau fuatilieni mpate taarifa zaidi,ila kwa upande wangu taarifa hizi nimezipata kupitia mtu wa karibu sana na mmoaja ya wakurugenzi ndani ya shirika mwenye uchungu na yaliyojiri.
Habari nilizozipata usiku wa jana ambazo ni za kweli ni kwamba dowans wameshalipwa,kwa ufupi watanzania tumeshapigwa changa la macho.na nyie wadau fuatilieni mpate taarifa zaidi,Ila kwa upande wangu taarifa hizi nimezipata kupitia mtu wa karibu sana na mmoaja ya wakurugenzi ndani ya shirika mwenye uchungu na yaliyojiri.
Jana kwenye pita pita yangu nilikutana na Mjumbe mmoja wa Bodi ya Tanesco. Katika maongezi nae nilimuulizia kuhusu suala la Dowans. Kwenye maelezo yake ni kuwa malipo ya Dowans ni halali kabisa, kwani wanacho kidai ni gharama za umeme ambao wao walizalisha na hawakuwahi kulipwa na Tanesco mpaka mkataba pale ulipo vunjwa.
Kwa maana hiyo basi, wanadai hela yao halali kabisa ambayo umeme ulizalishwa na mie na wewe tuliutumia. Sasa hapo malipo ambayo sio halali ni yepi ? au tuna nia ya kudhulumu haki za watu ?.
Na kuhusu hukumu ya mahakama ya ICC wao vitu walivyo uliza ni vichache tu, kama mitambo ipo wapi ? ilizalisha umeme au haikuzalisha ? huko nyuma walikuwa wanawalipa au hawakuwalipa? Mkataba ulivunjwa kabla ya muda ?. Majibu ya maswali yote hayo ni ndio, ndipo mahakama ikatoa huku ya Dowans kulipwa haki yao kwa kile walichotuzalishia na kukitumia.
Kumbe siku zoote unabishana bishana hapa na kupotezea watu mida hata hufahamu kinachoongelewa ni nini na kinachodaiwa nni nini. Shame on you!!!!