The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Kumbe inawezekana kutunga ka-stori ili kaendane na mtazamo wako eeh? Nilikuwa sijui hiyo...
Kila mtu anajisikia tu kuongea ili mradi tu ameongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe inawezekana kutunga ka-stori ili kaendane na mtazamo wako eeh? Nilikuwa sijui hiyo...
Majibu ya maswali yote hayo ni ndio. Mitambo ipo wapi? NDIO.
Ilizalisha umeme haikuzalisha? NDIO.
Huko nyuma walikuwa wanawalipa au hawakuwalipa? NDIO.
Mkataba ulivunjwa kabla ya muda? NDIO.
DUUUUUH!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hya basi hayo yote sawa tuambie sasa huyo managing director wa dowans ni nani? Maana hakuna compuni isiyokuwa na mwenyewe,isiyokuwa na manager mwajiri isiyokuwa na accountant!! hii dowans haina hao wote? ama ni ya shetani
Kumbe ndiyo anaitwa hivi siku hiziHivi kwani wamiliki wa Richmond na Dowans waliotajwa kwenye report ya kamati ya Mwakembe ndio hao hao waliotajwa na Mh. Waziri Geresha [Ngereja] siku alipokutana na waandishi? mwenye ile riport ya Mwakembe aiweke hapa tui review.
Jamaa wanatunga vistori vyao , afu wanakuja kwetu kutaka tuwahalalishie!!
Nendenu zenu kuleee. Mkitaka kulipa lipeni tu...lakini msitufanye mazezeta! Wezi wakubwa!!!!
Binafsi nafikiri ni wakati wa Mkuu wa Nchi kuzungumza kuhusu suala hili, kwani hata bunge lenyewe halina ubavu tena chini ya Spika Anne. Kesho atakuja hapa mtu mwingine na kusema kakutana na Lowassa Monduli kamwambia Dowans ni mali ya Sophia Simba.
Huku kesho yake mwingine atakutana na Zitto Kabwe na atamwambia yeye (Zitto) kama Mwenyekiti wa Hesabu za Mashirika ya umma likiwemo Tanesco ndo anajua Dowans wanatakiwa kulipwa.
Mwishowe tutajikuta tunapoteza muda tu!!
Sakata la Dowans: ICC Siyo Mahakama wala ya Kijiji licha ya Kimataifa
Mimi nawashangaa Watz wengi, tena walioenda shule, wanavyochukulia vitu kijuu juu tu bila uchambuzi na kupokea wanayoambiwa tu bila kuyachekecha. Watu wanasema kuna mahakama ya kimataifa imehukumu kuwa Dowans walipwe billion 185 na serikali ya Tz. Mara moja hoja ikawa tulipe au tusilipe? Kumbe swali la ukweli wa hayo maamuzi na nguvu zake kisheria vikasahaulika. Hata baada ya serikali kuchakachua hiyo "hukumu" na kuamua kulipa nusu tu ya hizo hela bado watu wengine hawajashtuka. Mahakama gani hiyo ambayo mhukumiwa anaamua mwenyewe kujirekebishia adhabu yake?
Kwanza ICC kirefu chake ni International Chamber of Commerce. Yaani ni taasisi ya kiraia kama NGO hizi za kwetu. Haina uwezo wa kuwa mahakama kwani mahakama ni chombo cha sheria na hivyo kokote duniani ni chombo cha serikali. Kitu ICC ilicho nacho ni kitengo cha arbitration, ambacho kwa tafsiri sahihi ya Kiswahili ni kitengo cha Usuluhishi na siyo mahakama. Kwa kuwa ICC ni taasisi ya kiraia hiki kitengo cha usuluhishi ni cha hiari kabisa: pande zote mbili zinakubaliana kuhusu ni nani awe msuluhishi na ni mambo gani ya kusuluhisha, ni wapi watakaa, lini na kwa muda gani?.
Sasa kwa kuwa katika swala la Dowans viongozi wa serikali na Dowans walikuwa upande mmoja, hakukuweko na tatizo lolote kati ya upande ulioitwa wa serikali na upande ulioitwa wa Dowans kwa hiyo mambo yote watakuwa walikubaliana. Swali lililokuweko ni kudanganya wananchi kuwa kumekuweko na hukumu ya mahakama ya kimataifa na serikali inatakiwa kutekeleza hiyo hukumu ...
sasa unahangaika nini wenzio wanasema pesa zishalipwa? tuanze tu kujadili mambo mengine, hilo tushalizwa tayari...habari ndo hiyo.
Sakata la Dowans: ICC Siyo Mahakama wala ya Kijiji licha ya Kimataifa
Mimi nawashangaa Watz wengi, tena walioenda shule, wanavyochukulia vitu kijuu juu tu bila uchambuzi na kupokea wanayoambiwa tu bila kuyachekecha. Watu wanasema kuna mahakama ya kimataifa imehukumu kuwa Dowans walipwe billion 185 na serikali ya Tz. Mara moja hoja ikawa tulipe au tusilipe? Kumbe swali la ukweli wa hayo maamuzi na nguvu zake kisheria vikasahaulika. Hata baada ya serikali kuchakachua hiyo "hukumu" na kuamua kulipa nusu tu ya hizo hela bado watu wengine hawajashtuka. Mahakama gani hiyo ambayo mhukumiwa anaamua mwenyewe kujirekebishia adhabu yake?
Kwanza ICC kirefu chake ni International Chamber of Commerce. Yaani ni taasisi ya kiraia kama NGO hizi za kwetu. Haina uwezo wa kuwa mahakama kwani mahakama ni chombo cha sheria na hivyo kokote duniani ni chombo cha serikali. Kitu ICC ilicho nacho ni kitengo cha arbitration, ambacho kwa tafsiri sahihi ya Kiswahili ni kitengo cha Usuluhishi na siyo mahakama. Kwa kuwa ICC ni taasisi ya kiraia hiki kitengo cha usuluhishi ni cha hiari kabisa: pande zote mbili zinakubaliana kuhusu ni nani awe msuluhishi na ni mambo gani ya kusuluhisha, ni wapi watakaa, lini na kwa muda gani?.
Sasa kwa kuwa katika swala la Dowans viongozi wa serikali na Dowans walikuwa upande mmoja, hakukuweko na tatizo lolote kati ya upande ulioitwa wa serikali na upande ulioitwa wa Dowans kwa hiyo mambo yote watakuwa walikubaliana. Swali lililokuweko ni kudanganya wananchi kuwa kumekuweko na hukumu ya mahakama ya kimataifa na serikali inatakiwa kutekeleza hiyo hukumu ...
Mkuu GeniusBrain we wamekuahidi asilimia ngapi (%) kwa kuleta hizi pumba hapa?!!!!Jana kwenye pita pita yangu nilikutana na Mjumbe mmoja wa Bodi ya Tanesco. Katika maongezi nae nilimuulizia kuhusu suala la Dowans. Kwenye maelezo yake ni kuwa malipo ya Dowans ni halali kabisa, kwani wanacho kidai ni gharama za umeme ambao wao walizalisha na hawakuwahi kulipwa na Tanesco mpaka mkataba pale ulipo vunjwa.
Kwa maana hiyo basi, wanadai hela yao halali kabisa ambayo umeme ulizalishwa na mie na wewe tuliutumia. Sasa hapo malipo ambayo sio halali ni yepi ? au tuna nia ya kudhulumu haki za watu ?.
Na kuhusu hukumu ya mahakama ya ICC wao vitu walivyo uliza ni vichache tu, kama mitambo ipo wapi ? ilizalisha umeme au haikuzalisha ? huko nyuma walikuwa wanawalipa au hawakuwalipa? Mkataba ulivunjwa kabla ya muda ?. Majibu ya maswali yote hayo ni ndio, ndipo mahakama ikatoa huku ya Dowans kulipwa haki yao kwa kile walichotuzalishia na kukitumia.