Kizungumkuti Dowans


Mimi nataka kujua ni nani alisaini huo mkataba hapo ndipo tunaanzia
 
Hya basi hayo yote sawa tuambie sasa huyo managing director wa dowans ni nani? Maana hakuna compuni isiyokuwa na mwenyewe,isiyokuwa na manager mwajiri isiyokuwa na accountant!! hii dowans haina hao wote? ama ni ya shetani

Tokea lini ukalipa kampuni ambayo haujui wamiliki wake
 
Hivi kwani wamiliki wa Richmond na Dowans waliotajwa kwenye report ya kamati ya Mwakembe ndio hao hao waliotajwa na Mh. Waziri Geresha [Ngereja] siku alipokutana na waandishi? mwenye ile riport ya Mwakembe aiweke hapa tui review.
Kumbe ndiyo anaitwa hivi siku hizi
 
Jamaa wanatunga vistori vyao , afu wanakuja kwetu kutaka tuwahalalishie!!

Nendenu zenu kuleee. Mkitaka kulipa lipeni tu...lakini msitufanye mazezeta! Wezi wakubwa!!!!
 
Jamaa wanatunga vistori vyao , afu wanakuja kwetu kutaka tuwahalalishie!!

Nendenu zenu kuleee. Mkitaka kulipa lipeni tu...lakini msitufanye mazezeta! Wezi wakubwa!!!!

Hii ni kama vile sinema ya kihindi starring anaonyeshwa amekufa ile picha inakaribia kuisha wanamuonyesha akiwa yu hai
 

Mkuu Ukweli wa Dowans unajulikana tangu hapo nyuma, ni vile kuna watu wengine kazi yao ni kutetea tu, na wanatetea kwa misingi yao binafsi
 
Duuh makubwa ahsante kwa kutupa taarifa inayosaidia kuthibitisha kwamba swala la Dowans ni mchoro wa wakubwa serikalini
 
wanaogopa bunge, wameshafanya kabla bunge halijaanza. nasikitika kusikia hivyo. hivyo hata kama wabunge watapiga kelele sana, pesa imeshaenda, na hakuna kitakachobadilisha walichokifanya. kwani wakilipa, sisi watz tunao uwezo kuwafanya nini? si tutapiga kelele san ahalafu badaye tunanyamaza tunaletewa zengwe lingine tunaanza kulijadili na kuhangaika nalo? akianza lowasa, tunabadilishiwa zengwe anakuwa chenge, akija richmond, anakuwa kagoda, tunasahau yote, mara dowans tunasahau kagoda...etc. so wameshatujua kuwa hatuna lolote, na wengi wa wanaofanya hayo wamejaa humuhumu kwenye JF na wanachangia hata mawazo pengine....hii ndo inchi yetu.
 
sasa unahangaika nini wenzio wanasema pesa zishalipwa? tuanze tu kujadili mambo mengine, hilo tushalizwa tayari...habari ndo hiyo.
 
big uuuuuuuuuuuuuup UMSOLOPAAAA for your good infos's
 

Kama ni kweli unayoyasema, basi hapo kuna mgao wa wengi kwenye serikali yetu!
 
sasa unahangaika nini wenzio wanasema pesa zishalipwa? tuanze tu kujadili mambo mengine, hilo tushalizwa tayari...habari ndo hiyo.

Una uhakika na unachokisema??!! Ninachojua iko kesi mahakamani kupinga malipo hayo...sidhani kama wataweza kufanya kinyemela!
 

Hoja yako kama ina mashiko. Kwa kuwa chama kinachounda serikali ndicho kilichoshika mpini wa panga, basi nakushauri uangane na kada wao Mh. Nimrodi Mkono kuandaa hoja za kukwepesha malipo haya. Hata hiyo sina hakika kama Nimrodi kweli ana dhamira ya thati ya kulisaidia taifa liondokane na mzigo huu au ilikuwa ni danganya toto tuu
 
Mkuu GeniusBrain we wamekuahidi asilimia ngapi (%) kwa kuleta hizi pumba hapa?!!!!
 
If it's true then it's quite amazing and I will kick myself for not thinking that!! Good Stuff man!
 
Unataka kuendeleza maneno maneno maneno tuu kama tulivyo watanzania badala ya kukazana kutafuta mbinu za kujikwamua kwenye umaskini munatupotezea na dowans ili tusahau kama kura mulichakachua,mumeshindwa kutawala nchi,mumeingiza nchi kwenye fedheha kuu,kama munadhani watanzania ni walewale wa kusahau mumeunywa,senti tano haitoki na mkilazimisha mutaipata
 
Huyu Genius barin ametoka shule ya kata, walimu wawili, wanafunzi 180. face to face na mwalimu wake ajawai fanya. Anashida sana. He lacks creative thinking. due to lact of intuitive mind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…