Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kilolambwani we ndio unashtukia sasa hivi mbona hivyo vitu viko wazi kabisa ,Si umemsikia dr Mwakyembe alivyosema ni kwamba hiyo kesi hata kama wangemchukua mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa sheria pale UDSM angeshinda hiyo kesi kwani kila kitu walishaanika ilikuwa ni kama kumsukuma tu mlevi basi mambo yanaisha,mambo ni yaleyale kama ya mzee wa vijisenti swala la Rada.Kesi hii ni utapeli, haiingii akilini haramu kuzaa halali, Richmond ni haramu inakuwaje Dowans washinde kesi. Nahisi Mwanasheria wa Serikali aliyekwenda kuitetea ameahidiwa mgao iwapo serikali itashindwa. Madowans hao watamkatia. Wenzangu mnasemaje juu ya maono haya?
Mkuu umenena.Funny enough again,Dowans eti inanunuliwa na investor toka USA, what....!!!???
RA anatuzunguka anaweka let's say fedha US then ana pretend inanunuliwa of which
ni yeye mwenyewe anajiuzia, na watabadili jina, imagine wanavyotudharau, & i never
seen kampuni ambayo ina case mahakamani au inatuhumiwa inauzwa au kununuliwa
bcoz is illegal, trust me no one in US atanunua kampuni hewa kama hii kwa billions of
dollars without consulting US embassy to know its legal status, ndio maana nasema
wanatuzunguka tena na tena, just playing with citizens' life
Mkuu umenena.
Msikilize Pinda akitoa msimamo inachkesha kama siyo kuhuzunisha anavyojiumauma unaona kila ishara za mtu anayedanganya. Mwisho anakupoteza hujui kasema nini. Ukwel ni kuwa tumewashika pabaya kama sirikali na chama chao ndiyo maana wanahaha wengine kuanza kujitoa kinafiki. Hatudanyiki