Kizuri kula na mwenzio!!!!!.

tinna cute

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2013
Posts
4,630
Reaction score
2,308
Habari zenu wakuu, natarajia kuwa dar october5 for two weeks. mi si mwenyeji huko yan hata ikitokea natupwa posta jua napotea kabisa!!!!!

Natafuta aliye tayari kunipa company yani kunishika mkono,mi natokea moja ya mikoa ya kanda ya ziwa!

Sifa,
1. awe mwanaume wa kuanzia miaka 35 - 45
2. awe muelewa asije niona mshamba sana.
3. awe na digrii kuanzia
moja na kuendelea.
4. asiwe mpenda uzungu sana.

Wakuu naomba msinichambe!!!!! mwenyeji wangu heaven on earth kwa heshima ya kunipokea humu JF naomba unisaidie kufanya usaili then kwa atakae qualify naomba um Pm kwangu.

Jaman si mnajua zimwi likujualo halikuli likakwisha!

Naomba kuwasilisha!
 

Qualifications zote za nini ??unataka mtu wa kukushika mkono au wa kukunaniliuu
 
Embu punguza tu-miaka tu-wili hapo kwenye 35 ili tukupokee.
 
Uchangudoa unastaili yake ya kufanya biashara.
Hizo ni tarehe za mwisho wa mwezi.
 
me napenda saana kujuana na marafiki wapya na kampani ya kubadilishana mawazo pia, na ningefurahi kama ningekuwa mwenyeji wako ila sina kigezo cha umri tu coz nina miaka 28, kama uta change mawazo naomba niwe mwenyeji wako na uwe mgeni wangu pia!!~
 
samahani kwa niliowakwaza!!!! sikumaanisha mlivyofiria wenzangu!!
 
Uchangudoa unastaili yake ya kufanya biashara.
Hizo ni tarehe za mwisho wa mwezi.

Mmh!!!! yn cna hata haya ya uchangudoa!!!! nina kazi inayonipa status nzuri tu kwa jamii yng inayonizunguka. so sory kama nimekukwaza.
 
me napenda saana kujuana na marafiki wapya na kampani ya kubadilishana mawazo pia, na ningefurahi kama ningekuwa mwenyeji wako ila sina kigezo cha umri tu coz nina miaka 28, kama uta change mawazo naomba niwe mwenyeji wako na uwe mgeni wangu pia!!~

ntakutafuta!!
 
WE vipi? ushauri wangu ni ukifika ubungo piga cm no 101 watakupokea vizur tu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…