Kizuri kula na mwenzio!!!!!.


Mm..wanawake hatuwez kukupokea??anyway karibu mjini it would have been a pleasure kupokea mtu but am discqualified
 
sidhani kama utapata kwa sababu ya ubaguzi wa elimu
 
Mi sina miaka hiyo nina 31 but naomba niwe kamati ya maandalizi along side Heaven on Earth.
Or kamati ya emergence.
 
du! hi sasa kali, mwenyeji tu.... vigezo lukuki.... ungekuwa unatafuta mume sijui hivyo vigezo ingekuwaje lo!, lakini nimesikitishwa na wanaokuvurumushia matusi na maneno machafu, japo sijapenda pia ubaguzi wako... yawezekana ndo kimewakwaza watu.... anyway waliopo dar mpokeeni mgeni uyo.... maana naamini saa nyingine JF ni kama online family hivi... one love
 
hope ulifanikiwa kushikwa mkono
 
Tatizo wengi tuliomo LC utani umezidi na vigezo hatuna, tujaribu kuwa makini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…