KKKT Konde mlikosea tangu mlipomfuata Askofu Mwaikali akawe Askofu wa Konde

KKKT Konde mlikosea tangu mlipomfuata Askofu Mwaikali akawe Askofu wa Konde

Anglikana ndio kiboko kwa migogoro. Subiri KKKT wakitulia utasikia Anglikana wameanza tena.
Mungu atusaidie sana Wakristo, tunatia aibu kwa migogoro makanisani.

Hivi haya ya EAGT ndio anglican??
Maana kuna kipindi walimuombaa had JPM aingilie kati
 
Hivi haya ya EAGT ndio anglican??
Maana kuna kipindi walimuombaa had JPM aingilie kati
EAGT Wana mgogoro na TAG.. EAGT walipora Mali za T.A.G baada ya Kulola kujitoa na kuunda EAGT.

Moravian ni wengine..

Anglican ni wengine na Lutheran ndo KKKT

Kwa uongozi stable ni Sisi Waadventista Wasabato na R.C hakuna Kanisa kumilikiwa na mtu au watu wachache.
 
Mimi Nabii na Mtume
Usiniulize wala kuhoji
 
MUNGU siyo Mungu wa machafuko, hakuna mbingu hapo. biblia inakataza mambo ya kanisa kushitaki kwa watu wa mataifa (wapagani)
 
Wapendwa sana wana KKKT Dayosisi ya Konde, poleni na mgogoro wa kuhamishwa makao makuu toka Tukuyu kwenda Mbeya Mjini.

Askofu mwaikali katika ngazi za juu amekuwa msaliti tangu akiwa msaidizi wa askofu hadi akahamia iringa hadi mlipomfuata akawe askofu wa Konde.

Nina maswali ambayo mnatakiwa mjihoji.

Kwanini akiwa msaidizi alimsaliti Ask Mwakyolile?

Kwanini hakupangwa kwenye huduma ndani ya dayosisi baada yakuondoka usaidizi?

Alikokuwa huko iringa alipata baraka za dayosisi ya konde kwenda kutumika nje ya dayosisi?

Mlijua maisha ya huko alikokuwa nje ya dayosisi na mlijidhirisha hadi mkatuma wajumbe wa kumuomba arudi?

Tunajua jiografia ya makao makuu ya Dayosisi ya Konde ipo nje kidogo na ngumu.

Njia aliyoitumia Ask Mwakagali ni uasi wa hali ya juu.

Ameligawa kanisa na kuvunja katiba ya dayosisi.

Kuepusha kukua kwa mgogoro.

1. Halmashauri kuu ya dayosisi ipige kura yakutokuwa na imani.

2. Waamini mtafute mwanasheria afunguliwe mashitaka kwa kuvunja katiba.

Ikiwa mnataka kuhamisha makao makuu muanze kwa kuzingatia jiografia na umuhimu wake bila kuathili kanisa.

Ask Mwakagali amefanya uhuni na uhaini. Hafai kuendelea kukalia kiti.
Hivi mara ya kwanza dayosisi si ilikuwa kandete " itete" kabla ya kuhamia tukuyu mjini au nipo vibaya katika kumbukumbu zangu. ?
 
Anglikana ndio kiboko kwa migogoro. Subiri KKKT wakitulia utasikia Anglikana wameanza tena.
Mungu atusaidie sana Wakristo, tunatia aibu kwa migogoro makanisani.
Anglikana ndo funga Kaz. Ukichanganya na ufukara Ni balaa
 
Hawa maaskofu wanahangaika nini na dunia maana raha yenyewe ya dunia ambayo ni wanawake wao hawana, sasa wanahangaika na mavyeo yatawasaidia nini?
 
Mambo ya makanisani na dini mbalimbali waachieni walioapa huwa wanajuana kuyamaliza kwa kuhamishana vituo vya kazi.

Mlei ukiingia kichwakichwa utakuwa unahamahama ukidhani uendako kuna unafuu.
 
Anglikana Wana migogoro mpaka aibu. Kuna kipindi Diocese of Ruvuma kule ilikua kazi haswa
Hivi Malasusa ni wa Anglikana ama KKKT?

Maana walimvua uaskofu bado akagoma kuondoka na akaahidi ataua mtu wakiendelea kumfuatilia.

EAGT walitaka kumalizana baada ya kifo cha Kulola. TAG wao walimpa Magufuli tuzo ya kumaliza covid.

KKKT Shoo ameshajimilikisha ni lake. Morovian wao migogoro ni kama ndio nyumbani kwao. FPCT wao walitaka kuuana kwa migogoro na ulafi wa sadaka.

RC wao wanataka kuua waumini kwa michango na kulawiti vijana.

Haya makanisa ni vurugu tupu asubuhi hadi usiku.

Waislamu wao mashehe kulawiti watoto na kubaka mabinti wa miaka 8 ndio kama jambo walilosomea chuo kikuu. Wako na expertise sio mchezo.
 
Nilishangaa Mwaikali kua askofu maana alikua anafundisha chuo cha kikatoliki cha Ruaha (RUCO) ghafla kawa askofu. Nadhani utaratibu wenu wa kupiga kura ni rahisi sana kuwa bribe wapiga kura wakakuchagua
Mkuu umenena[emoji106] Matatizo mengi ya KKKT katika kuwapata viongozi hasa maaskofu yanatokana na utaratibu huo wa kupiga kura. Kunakuwa na kampeni hasi, wachungaji wanapewa ahadi chungu nzima. Mwisho wa siku unaona chaguzi hizi za maaskofu zina "tension" na vurugu kubwa.
 
Back
Top Bottom