KKKT Konde mlikosea tangu mlipomfuata Askofu Mwaikali akawe Askofu wa Konde

KKKT Konde mlikosea tangu mlipomfuata Askofu Mwaikali akawe Askofu wa Konde

Mkuu umenena[emoji106] Matatizo mengi ya KKKT katika kuwapata viongozi hasa maaskofu yanatokana na utaratibu huo wa kupiga kura. Kunakuwa na kampeni hasi, wachungaji wanapewa ahadi chungu nzima. Mwisho wa siku unaona chaguzi hizi za maaskofu zina "tension" na vurugu kubwa.
Kwahiyo vile bagonza na busara zake lkn jinsi alivyoupata uaskofu ukute ni kwa hila!!
Kwa bagonza siamini
 
Anglikana Wana migogoro mpaka aibu. Kuna kipindi Diocese of Ruvuma kule ilikua kazi haswa
Mgogoro wa Anglican Mwanza ni kiboko, huwa hadi wanapigana hadharani polisi wanakuja kuwakamata
 
Hivi Malasusa ni wa Anglikana ama KKKT?

Maana walimvua uaskofu bado akagoma kuondoka na akaahidi ataua mtu wakiendelea kumfuatilia.

EAGT walitaka kumalizana baada ya kifo cha Kulola. TAG wao walimpa Magufuli tuzo ya kumaliza covid.

KKKT Shoo ameshajimilikisha ni lake. Morovian wao migogoro ni kama ndio nyumbani kwao. FPCT wao walitaka kuuana kwa migogoro na ulafi wa sadaka.

RC wao wanataka kuua waumini kwa michango na kulawiti vijana.

Haya makanisa ni vurugu tupu asubuhi hadi usiku.

Waislamu wao mashehe kulawiti watoto na kubaka mabinti wa miaka 8 ndio kama jambo walilosomea chuo kikuu. Wako na expertise sio mchezo.
Acha uongo FPCT haijawahi kuwa na mgogoro. Wewe inaongelea UMPT.
 
Zile za ndanii, Askofu Mwaikali kavuliwa Uaskofu kabakia Mchungaji wa Kawaida.
 
Kule Anglican wakina Kabudi walimuondoa Mokiwa!! Sijui kapotelea wapi ?
 
Migogoro ipo kila dini,ila njia zakutatua na uwazi tunazidiana.
Usiri wakutatua RC wanaongoza.
Uvujaji wa Mali RC wanaongoza ila hutasikia kama wengine
Acha kujifariji.

Tatizo la kanisa lenu ni ulaji

Wachungaji wana familia zao tena kubwa wanacholipwa hakiendani na gharama za uendeshaji wa familia zao

Lazima mzinguane tu kugombania ulaji!!

Hata kama mna demokrasia lakini hamuishi migogoro sidhani Mungu yuko kati yenu kama angekwepo mngesikilizana na kuvumiliana

kanisa lenu halina nidhamu ya utii kwa mamlaka za kanisa askofu anaweza lambwa kibao hata na muumini au mwinjilisti.

Kkkt mna mali kibao mashamba misitu,mahospitali,mashule,vyuo n.k

Lakini hamna mpango kabambe wa kuzitransform hizo mali zikasaidia kuendesha maishs ya wachungaji wenu.

Kanisa katoliki kuna mamlaka za kanisa,jumuiya za waumini,halmshauri za walei,mashirika ya mapadre na masista kila moja nina majukumu yake na wanafanya kazi kwa kushirikiana

Migogoro inaweza kuwepo au kutoelewana ila msingi wa kanisa ni uinjilishaji,kuishi kwa upe do na kuvimiliana kitu wewe unaita USIRI.

msingi wa uanzishaji wa kanisa la kkkt ni UASI na KUKENGEUKA kwa padre martin luther unategemea kanisa litakuwaje[emoji2]

Jitafakari
 
Back
Top Bottom