Artifact Collector JF-Expert Member Joined Mar 7, 2019 Posts 6,617 Reaction score 10,205 May 25, 2023 #21 Msanii said: Askofu mkuu ni kutoka kanda inayoamini mali kukuko imani. Vita haiishi kesho hii Click to expand... Muundo wa kkkt kila dayosisi inajitegemea askofu shoo hawez ingilia mambo ya ndani ya dayosis yeyote ile hana hayo mamlaka isipokua anapotoka ya kaskazini
Msanii said: Askofu mkuu ni kutoka kanda inayoamini mali kukuko imani. Vita haiishi kesho hii Click to expand... Muundo wa kkkt kila dayosisi inajitegemea askofu shoo hawez ingilia mambo ya ndani ya dayosis yeyote ile hana hayo mamlaka isipokua anapotoka ya kaskazini
satininus Senior Member Joined Feb 11, 2021 Posts 135 Reaction score 171 May 25, 2023 #22 DUBULIHASA said: Mungu alituagiza wanyakyusa kueneza dini Tanzania lakini sasa tumeanza Mambo ya kichaga aisee Click to expand... Mliagizwa kueneza dini ipi?Ila mko sawa maana Neno la Mungu liliagiza watu wote waaminio walieneza.
DUBULIHASA said: Mungu alituagiza wanyakyusa kueneza dini Tanzania lakini sasa tumeanza Mambo ya kichaga aisee Click to expand... Mliagizwa kueneza dini ipi?Ila mko sawa maana Neno la Mungu liliagiza watu wote waaminio walieneza.