Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,553
- 2,380
Kumbe nabishana na mtu asiyejitambua...
Utabaki kupiga makitaimu ta hapa lakini Tamko la Maaskofu limeshatolewa na sasa kila mwanajumuiya analo.
Kila mikutano ya wanajumuiya sasa msisitizo ni kutii mamlaka ya Kanisa ya Kura ya Hapana kwa Katiba Haramu ya Chenge na Mafisadi.
Matamko ya jumuia hayakuanza leo, kama umesahau waraka wao mwaka 2010 uliwaamuru watu wasiichague CCM na Kikwete lakini leo unajua rais wa JMT ni nani. Hao watatoa kila tamko ila mwenye mamlaka ya mwisho ya kuamua ni mwananchi. Kama nyie wafuasi wao mnapenda kuamuliwa huo nao ni uhuru wenu. Alichokisema Pengo na Kilaini ni kuwakumbusha hao vilaza kuwa waumini wa dini za kikristo wana akili zao timamu na wanajua wanachokitaka hivyo wataamua wanataka nini.