KKKT mbona roman catholic hawaangaiki na hao wa mafuta mahubiri yenu kila siku vs mafuta si nanyie muanze uza mafuta?

KKKT mbona roman catholic hawaangaiki na hao wa mafuta mahubiri yenu kila siku vs mafuta si nanyie muanze uza mafuta?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Yaani imekuwa kama keroo sasaa mnafanya wengine tusiende makanisan

Yaan kuna viongozi kila ukisikia ibada mahubiri yao 50 perc wanaanza kukandia wach wa mafuta sijui mkaa sijui majivu ooh mtanyeshwa, Kwa nini msichukue mda kufundisha neno la Mungu waelewe wapone

Mbaya. Mnalalamika tunawatarajisha wao wanajenga magari majumba mnataka tuanze kukaguana mna nini kwani wao hawana nafsi ama. Hao mnaosikia wanatoka kkkt saa tano kwenda kwa kina mwamposa ama kuhan musa ama kiboko ya wachawi na wengineo wamepona huko

Wanaa amini hayo hayo mafuta na maji na mkaa na majivu mnayosema na wamepona, watu hawaangalii makanisa ya baba na mama tena. Mi nisingependa kuona mnaongelea hao mahubiri yenu yajikite kuelimisha watu jinsi gan ya kupona kiroho kufanikiwa ukiona kakimbia ujue hapo ajafika anapotaka

So tupunguze haya makelel ya mafuta maji majivu ibadan, Nimemsikia jana kiongozi mmoja anahubiri 30 mns anatoa mipasho ya mafuta na maji kha Anaenda mbali kama huna roho mtakatifu unakimbilia maji mafuta huponi hahahaaa

Ndugu mch najua yumo humu wale wanaopona kule kwa mwamposa ama kuhani musa ama makanisa mengine ndugu wengine waislam wa ambagala chamazi. Mungu akishusha uponyaji aangali una roho mt. Dini wala kabila. Upendo wake hauna kifichoo

Msidanganye watu kupona lazima uwe na roho mt.....

Ushauri wangu

Nimesikia mnalalamika waumini wanakimbiammakanisa yao ya wazazi wao. Sikuhizi hakuna hilo ukiona one yr unasali kanisani huongezeki we upo tu kama msukule hamaaa..Kanisa alitupeleki mbinguni

Mema ya nchi n hapahapa dunia mambo ya kuambiana ati hata ukifa masikini unafika mbingun huku nyie n matajiri wa majumba ya kupangisha mashule hamna hioo

Watu wameamka wametaka mabadiliko mkubaliane nayo tu, Nilisema hapa mfano mmoja tu washarika tunachangishana mashule yetu ya kkkt siku wanaanza ujenzi tunajitoleaa

Shule inamalizikaa, mnatutajia ada mil 3.2 wangapi wa kulipa hizo pesa makanisa yetu kama sio wachache wenye nguvu na watoto wenu. So washarika wanaona kumbe haya mambo sio yetu me.A ya nchi mle nyie sie tupambane na kayumba.

Majuzi nilikuwa na .Xh mmoja mwandamizi wa mambo ya elimh nilimchamba sana sasa kama.Mnasema ati walimu wazuri wanalipwa pesa nying hawa masikini kwann msitengeneze shule zao za bei ya kawaida wa enjoy sadaka zao?

Kama mlijua hili mngetangaza ili hio kichango itolewe na matajjri wanaopeleka shule watoto wao humo. Like wise kirohooo nako waumini wameshtuka wanataka kufika mapema kama nyie.

Amen
 
Kanisa moja takatifu la mitume lililolotabarukiwa siku ya pentekoste baada ya roho mtakatifu mwenyewe kuwashukia mitume na kuwapa uwezo wa kuanza kulieneza neno la Mungu dunia kote (Roman Catholic) halijawahi kuyumba wala kuyumbishwa despite all the calamities that has gone through. God bless vatican
 
Kanisa moja takatifu la mitume lililolotabarukiwa siku ya pentekoste baada ya roho mtakatifu mwenyewe kuwashukia mitume na kuwapa uwezo wa kuanza kulieneza neno la Mungu dunia kote (Roman Catholic) halijawahi kuyumba wala kuyumbishwa despite all the calamities that has gone through. God bless vatican
Hakika ...
 
Kanisa moja takatifu la mitume lililolotabarukiwa siku ya pentekoste baada ya roho mtakatifu mwenyewe kuwashukia mitume na kuwapa uwezo wa kuanza kulieneza neno la Mungu dunia kote (Roman Catholic) halijawahi kuyumba wala kuyumbishwa despite all the calamities that has gone through. God bless vatican
Hii kanisa mpaka sasa linabariki mashoga siyo kwamba limeyumba tu bali limeanguka kabisa.
 
Yaani imekuwa kama keroo sasaa mnafanya wengine tusiende makanisan

Yaan kuna viongozi kila ukisikia ibada mahubiri yao 50 perc wanaanza kukandia wach wa mafuta sijui mkaa sijui majivu ooh mtanyeshwa, Kwa nini msichukue mda kufundisha neno la Mungu waelewe wapone

Mbaya. Mnalalamika tunawatarajisha wao wanajenga magari majumba mnataka tuanze kukaguana mna nini kwani wao hawana nafsi ama. Hao mnaosikia wanatoka kkkt saa tano kwenda kwa kina mwamposa ama kuhan musa ama kiboko ya wachawi na wengineo wamepona huko

Wanaa amini hayo hayo mafuta na maji na mkaa na majivu mnayosema na wamepona, watu hawaangalii makanisa ya baba na mama tena. Mi nisingependa kuona mnaongelea hao mahubiri yenu yajikite kuelimisha watu jinsi gan ya kupona kiroho kufanikiwa ukiona kakimbia ujue hapo ajafika anapotaka

So tupunguze haya makelel ya mafuta maji majivu ibadan, Nimemsikia jana kiongozi mmoja anahubiri 30 mns anatoa mipasho ya mafuta na maji kha Anaenda mbali kama huna roho mtakatifu unakimbilia maji mafuta huponi hahahaaa

Ndugu mch najua yumo humu wale wanaopona kule kwa mwamposa ama kuhani musa ama makanisa mengine ndugu wengine waislam wa ambagala chamazi. Mungu akishusha uponyaji aangali una roho mt. Dini wala kabila. Upendo wake hauna kifichoo

Msidanganye watu kupona lazima uwe na roho mt.....

Ushauri wangu

Nimesikia mnalalamika waumini wanakimbiammakanisa yao ya wazazi wao. Sikuhizi hakuna hilo ukiona one yr unasali kanisani huongezeki we upo tu kama msukule hamaaa..Kanisa alitupeleki mbinguni

Mema ya nchi n hapahapa dunia mambo ya kuambiana ati hata ukifa masikini unafika mbingun huku nyie n matajiri wa majumba ya kupangisha mashule hamna hioo

Watu wameamka wametaka mabadiliko mkubaliane nayo tu, Nilisema hapa mfano mmoja tu washarika tunachangishana mashule yetu ya kkkt siku wanaanza ujenzi tunajitoleaa

Shule inamalizikaa, mnatutajia ada mil 3.2 wangapi wa kulipa hizo pesa makanisa yetu kama sio wachache wenye nguvu na watoto wenu. So washarika wanaona kumbe haya mambo sio yetu me.A ya nchi mle nyie sie tupambane na kayumba.

Majuzi nilikuwa na .Xh mmoja mwandamizi wa mambo ya elimh nilimchamba sana sasa kama.Mnasema ati walimu wazuri wanalipwa pesa nying hawa masikini kwann msitengeneze shule zao za bei ya kawaida wa enjoy sadaka zao?

Kama mlijua hili mngetangaza ili hio kichango itolewe na matajjri wanaopeleka shule watoto wao humo. Like wise kirohooo nako waumini wameshtuka wanataka kufika mapema kama nyie.

Amen
Hivi unajua uliaga unaenda kulima ntalali kijijini kwenu mkuu?Umerudi bila hodi.
 
Zamani ile namna ya kusali ya kulia ilikuwa ni ya walokole tu ila baadae ikakua na kuingia KKKT na ipo. Tusishangae kuwa na haya mafuta nayo yakafika Lutheran
 
Hii kanisa mpaka sasa linabariki mashoga siyo kwamba limeyumba tu bali limeanguka kabisa.
Nini Kubariki mashoga? (Japo hakuna official uthibitisho on that). Hili kanisa limepita kwenye kashfa na mabalaa mengi sana. Wapo mapapa waliozaa na wake za watu, wapo mapapa waliojinufaisha kwa kuanzisha vita kwa matakwa binafsi, wapo mapapa waliointertain vitendo vya ushoga, wapo mapapa waliopata upapa kwa kuua, wapo mapapa waliotumiwa na anasiasa/watawala kulinda falme za watu, wapo mapapa waliofanya biashara kupitia kanisa kwa manufaa yao binafsi.

Hii manaake nini? Kanisa linaendeshwa na binadamu ambaye hajawahi na wala hatawahi kuwa mkamilifu. Hata Mungu mwenyewe analijua hilo. Adamu alimsaliti Mungu bustani ya edeni na bado Mungu alimsamehe. Mfalme Daudi alikula mke wa mtu na kumuoa kabisa na bado Mungu alimsamehe. Yda aliyekuwa anakula na kunywa na Yesu alidiriki kumsaliti Yesu. Petro alimkana Yesu mara tatu. Mifano ipo mingi sana ya kuonesha udhaifu na kutokukamilika kwa binadamu bila kujali nafasi yake.

Kwaiyo sio ajabu viongozi wa RC kutokuwa wakamilifu. Lakini siku zote kanisa limeendelea kusimama na huwa tunasisitiza "Usifuate ninachofanya bali ninachosema"

TUSIFU YESU KRISTO
 
Ukiona umeombewa ukapona ujue mchungaji anafuata imani yake ya jadi, mizimu yake ndio inayompa nguvu na si hii mizimu ya Kiyahudi.
 
Linda sana moyo wako maana ndiko chemchem za uzima zitokako. Hayo mengine yote ni mbwembwe tu, makanisa siku hizi imekuwa sehemu ya watu kujipigia pesa na wajinga ndo waliwao haijalishi wanaliwa kwenye kanisa lipi
 
Mambo ya dini na madhehebu yatakupasua kichwa mkuu, we nenda tu kasali katika mahubiri chukua yale yanayokuhusu mengine waachie wenyewe
 
Mambo ya dini usiyamalizie maneno kijana. Ya kubeba yabebe na yakukwazayo achana nayo. Mtafute Mungu kwa juhudi ndo lengo kubwa na Dini, mengine yanavumilika.
 
Hii kanisa mpaka sasa linabariki mashoga siyo kwamba limeyumba tu bali limeanguka kabisa.
Kanisa catholic halibariki mashoga, hakuna mahali wamefanya hivyo. Kanisa pekee lililo baki na msimamo wake
 
Kumbe watu mnataka majumba magari na sio uzima wa milile yaani hamtaki uzima wa milele mnataka ishara haya mkamezwe na samaki kama yona
 
Upepo wa mitume na manabii wa kizazi hiki ni zaidi ya upepo wa kisulisuli, waumini wa kizazi hiki lazima watawakimbia kwenye hayo makanisa ya wazazi wao...hofu inazidi kutanda miongoni mwa madhehebu kongwe, na huenda siku za usoni majengo yao yakatumika kuanzishia miradi ya ufugaji kuku!
 
Mtume kuna muujiza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Back
Top Bottom