Klabu bingwa Africa: Yanga yaichapa Township Rollers 1 - 0 na kufanikiwa kuingia raundi ya pili

walisema zinaenda mbili zinabaki mbili nadhani zimekwisha enda mbili
 
This iz Yanga timu ya wananchi! Wengine kushinda nje ya nchi ni ndoto

Huu msemo wa 'this is' sijui nini tuwaachie wenyewe waropokaji...Yanga haina tabia ya majivuno hii ni timu ya wananchi wengi wakiwa ni wa kawaida ...Sisi hatuna majivuno na misifa...waache watambe hao wa back to back' eti miaka kumi mfululizo ndiyo mabingwa..ingekuwa ni ulaya angeshikishwa adabu kwa kosa la disrespect kwa timu nyingine...ukisema una uhakika wa kuwa bingwa miaka kumi mfululizo inabidi uitwe na uhojiwe kwanini unasema hiivyo au utanunua mechi kwa kuhonga wachezaji au waamuzi...
 
Kumbe sio timu ya wananchi tena mkishinda.
Mkishinda inageuka na kuwa Dar Young Adrican.
Mkifungwa " tumeonewa ewa.. mkifungwa mnageuka na kuwa, Hao ndio Dar Young African.
Au Mabingwa ahaangaliagi njaa, Bali chakula
 
Kumbe sio timu ya wananchi tena mkishinda.
Mkishinda inageuka na kuwa Dar Young Adrican.
Mkifungwa " tumeonewa ewa.. mkifungwa mnageuka na kuwa, Hao ndio Dar Young African.
Au Mabingwa ahaangaliagi njaa, Bali chakula
Umeandika nini hapa! Viroba vineshapigwa marufuku acha kutumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…