Rudia tena ulichokisema!Yanga kajibeba mwenyewe kwa point
Alizokusanya, mmewabeba KMC tu mikia wewe
Mngefungwa hata leo ungekua umelala usingepita humuNimeanza lini kujificha Mtani. Ukiona sipo kwa hewa jua kuna mambo zimenibana.
Japo najiuliza tungefungwa mngekuwa na kauli za kipole kama hizi.
Haswaa waje kwa Mkapa waone, ngoma iko huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Msiangalie mechi yenu mje kuangalia yetu
Hahahaa. Mimi ni mmoja kati ya wale Wanayanga wachache tusio na chembe ya woga eti kisa tumefungwa.Mngefungwa hata leo ungekua umelala usingepita humu
Mbona hamjawabeba Lipuli au Kagera Sugar?Kwann yanga mna roho mbaya. Sisi tumewabeba mkaingia ligi ya mabingwa. Bado tunafurahi kuona mmewakilisha vyema. Ila kwa nn nyie MNA roho za kwa nini.
Marehemu Simba alkuwa na mdomo sanaVyura fc wameshinda ngoja tusuburi kesho mikia fc
Poleni sanaUshindi wa Simba ugenini ni sare! zaidi ya hapo ni 3-0, 4-0, au 5-0!
Hahahaaaah.Yanga mkishinda tutaweka wapi nyuso zetu!!!
Sawa.Leo umechezwa mpira kesho linapigwa kabumbu,ma men Shiboub ataburudisha eneo la kati
Polen kiongozi.Rudia tena ulichokisema!
Kwani nyie mnawakilisha klabu bingwa, nyie ni bingwa wa nchi gani?
Kama hamna ubingwa mkubali kua mmebebwa
wewe ilikuwaje jana kwa mchina?Jamaa waoga kama wanaoga nje. Mpaka wafunge ndio wanatokea
Yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....................Goli pekeee yq Balinya kwa free kick kipindi cha kwanza inaipeleka Yanga hatua inayofuata ya Caf champions league.Tutacheza na Zesco au Green Mambas.
Yangaaaaaaaa daima mbele,nyuma mwiko.
Kwenye Uzi wa Simba mbona huonekani?Jamaa waoga kama wanaoga nje. Mpaka wafunge ndio wanatokea
Tulikuja jana kwa Mkapa ngoma mliyocheza ovyooo!Haswaa waje kwa Mkapa waone, ngoma iko huku
Wanaomboleza mkuuTulikuja jana kwa Mkapa ngoma mliyocheza ovyooo!
Mwenzako ypo Temeke Hospital subiri akizinduka umuulize!wewe ilikuwaje jana kwa mchina?
Tulichemsha. Hatuna cha kujitetea, hakuna wa kumlaumu. Makosa yetu wenyeweTulikuja jana kwa Mkapa ngoma mliyocheza ovyooo!
Halafu kwenye uzi mmoja uliwatahadharisha viongozi na wanasimba wenzako juu ya uwezo wa timu yenu, jamaa wakakuchana sana. Pole Mkuu, ila sasa wanakukumbuka.Tulichemsha. Hatuna cha kujitetea, hakuna wa kumlaumu. Makosa yetu wenyewe
haha haaaaaa....mi siyo mikia FC.Mwenzako ypo Temeke Hospital subiri akizinduka umuulize!