Klabu Bingwa Africa: Zesco yaichapa Yanga kwa magoli 2 - 1 na kuingia hatua ya makundi; Yanga kucheza mtoano kwenye kombe la Shirikisho

Klabu Bingwa Africa: Zesco yaichapa Yanga kwa magoli 2 - 1 na kuingia hatua ya makundi; Yanga kucheza mtoano kwenye kombe la Shirikisho

Sasa viti maalum mje mpambane wenyewe kwenda club bingwa au shirikisho tuone kama mtatoboa, makombe yote mawili yanaenda Simba
 
Aliyemsajili Ali Ali hana akili. Ndiye uchochoro wa timu. Mchezaji mwenye sifa ya kuchezea Stand United, analetwa kucheza timu kama Yanga?

Kocha nae ni komeo tu! Timu iko nyuma mpaka dk ya 80, hutaki kufanya mabadiliko.
Yanga na Stand ni level moja tu
 
Back
Top Bottom