Klabu bingwa Afrika: Simba SC 1-0 Al Ahly

Naona vyura nao wanajipendekeza hapa viwanja vya mikumi,_____mtapata tabu sana vyura ni wa matopeni daima
 
Vyura kama bata tu.... Ngoja tuwaimbie
Mabata madogo madogo yanaogelea (itikia jangwani..)

Jr[emoji769]
 
Hallelujah!!! Unyonge tuliokuwa nao hizi wiki kadhaa Mungu anajua!? Faraja hii kwa kweli!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…