Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnafiki tu yule.leo watu wengi wameumia kuna mmoja anajifanya mchambuzi shaffi dauda alitabiri simba itafungwa ndio maana kwenye blog yake anaandika makala mengi lakini hapati hata comment moja
Wasubiri jmos zamu yaoNaona vyura nao wanajipendekeza hapa viwanja vya mikumi,_____mtapata tabu sana vyuru ni wa matopeni daima
Nkana walijaribi kutangulia kilicho wasibu ni maneo ya kamanda Mroto kuwashukia.Hapa ni kuomba waarabu wasipate bao tu, maana timu za bongo zikitanguliwa huwa ni kupanic tu kwa kwenda mbele
Mpuuzi yule. Yule kama kuna mtu kamfollow ni kumunfollow tu ili aelewe kazi yake haihitaji kugawa mashabiki.NAONA SHAFII DAUDA KAJIFUNGIA NDANI
Iam posting from Canada I don't understand your language. Is this a final result? ***** mtakufa kwa roho mbayaLeo ni Asante Kwasi vs Ramadhani Sobhi.
Wawa vs Ajayi Junior.
Fulltime Simba 1-3 Al Ahly
Vyura kama bata tu.... Ngoja tuwaimbieHakika Mungu humsikia mja wake , dua la kuku halimpati mwewe Yanga ya Bwawani leo wametoka vichwa chini kwa aibu hawakujua kuwa kila timu point 3 za nyumbani ni zake leo Mabingwa wa Nchi wamewachapa Al Ahly Bao kwa bila na kuchukua Point zote 3.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hallelujah!!! Unyonge tuliokuwa nao hizi wiki kadhaa Mungu anajua!? Faraja hii kwa kweli!!Hakika Mungu humsikia mja wake , dua la kuku halimpati mwewe Yanga ya Bwawani leo wametoka vichwa chini kwa aibu hawakujua kuwa kila timu point 3 za nyumbani ni zake leo Mabingwa wa Nchi wamewachapa Al Ahly Bao kwa bila na kuchukua Point zote 3.
Sent using Jamii Forums mobile app
hawa makocha wa kwenye kahawa wasikuchoshe ndugu yangu 😀
vyuraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.wamepoteanaaaaVyura kama bata tu.... Ngoja tuwaimbie
Mabata madogo madogo yanaogelea (itikia jangwani..)
Jr[emoji769]