HahahhahaNa mmeroga kweli waarabu wazito kama wamefungwa mawe
Full time As vita kapigwa. Ko simba tunahitaji ushindi nyumbani zid ya vita...AS Vita katunguliwa 1 na JS Saoura.
Mapambano yanaendelea.
Ndiyo wameshafungwa sasa!!Ombeni Vita afungwe na Js soura, other wise nafasi ya 3 inawahusu kwa mara nyingine π€£π€£π€£
Abee Mtoto. ππ
Hahahaa. Hizi tag ningezipata kwenye zile mechi za Khamsa Khamsa mbona ningenenepa. π
Pambana na hali yakoMajukumu shoga. Ila wamenikera sana wale Waarabu.
Ndio nini sasa kile? [emoji3]
Hahaaaa. Lol.
[emoji23]huwezi kua seriousHahahaa. Hizi tag ningezipata kwenye zile mechi za Khamsa Khamsa mbona ningenenepa. [emoji12]
Nimekuja bana japo kwa kuchelewa.
Naona anatembelewa na kaupepo flan... Kule nako mwarabu kawaua wana bakurutuSimba bhana... dah!
Ngoja nisukutue kwa K Vant...
Kundi limekuwa tamu sanaNaona anatembelewa na kaupepo flan... Kule nako mwarabu kawaua wana bakurutu
Sent using Jamii Forums mobile app