Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

Watoto wangu eeh! Mimi mama yenu sina nguvu tena, za kumuua simba, simba ni mkali
Aliua mbabane
Aliua Nkana
Ameua warabu

Sasa wengine naomba mkimbie tu[emoji125]
 
Ndiyo kupenda huko kwenye shida na raha si kubadili timu kama unabadili picchu tatu kwa siku 😜😜😜
Hahahaa. Na kweli.

Haya. Uwe na siku njema. 🙏🙏🙏🙏
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kama mwarabu anapigika namna hii, kipigo cha mbwa koko, sipati picha tutawafanya nini vyura fc tukikutana nao, tutawafedhehesha kwa kweli.
 
Back
Top Bottom