chiqutitta
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 1,160
- 3,124
Ozil fund atakaeje nje ndo swal najiuluza but sipat jibuBado tuna safari ndefu sana.
Ozil fund atakaeje nje ndo swal najiuluza but sipat jibu
Na test mitambo
Hajar ndio Shadeeya.Hajar sikuhizi umehama kijiweni mama. Njoo basi unipe hata aslam aleykum. This is Simba
Hahahaa. Na kweli.Ndiyo kupenda huko kwenye shida na raha si kubadili timu kama unabadili picchu tatu kwa siku πππ
Leo umekuwa na akili big upSimba huwa wanatumia kimasomaso kimataifa.
Wanafanya vyema sana.
Hongera Haji Manara, toto la Kariakoo.
Engineer soma hapo..Hahahaa. Na kweli.
Haya. Have a good day. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Mita 3 urefu Upana 0 MkuuEngineer soma huko ngapiiiiii.....somaaaa iyoo mbona hutaki kusoma
Tuendelee kutazama had mwisho wa msimuConsistency Mkuu.
Hahahaaa. Leoo.
Hahaha basi mama, yaishe.Nani kakwambia? Au umefananisha Avatar?
Una la ziada mkuu. Kwani unateseka?? @mcm40Sijui kwa nini natamani Simba ifungwe. Najaribu kujizuia nashindwa. Halafu napata maono mechi itaisha 2 - 1 in favour of Saoura. Sijui ni lini tu za Tanzania tutaacha kuwa kichwa cha mwendawazimu. Inasikitisha sana. Kelele nyiiingi, vitendo zero.
πππKama mwarabu anapigika namna hii, kipigo cha mbwa koko, sipati picha tutawafanya nini vyura fc tukikutana nao, tutawafedhehesha kwa kweli.
Wamechanganyikiwa na kichapo...Nimemsikiliza mkalimani wake ila hata sijamuelewa.
Yaishe vipi jamaani. Hahahaaa.
Hadi mwisho wa safari.
Hahahaa. Na kweli.
Haya. Have a good day. ππππ