Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

Klabu Bingwa Afrika, Uwanja wa Taifa-Dar: Simba SC yairarua JS Saoura bila huruma goli 3-0

Nilikuwa nimeshaweka 3 points kibindoni leo na West Ham wakaniboa hata sikuangalia mechi yote. 🙊🙊🙊
Pole vumiliaga tu.

🎵🎵🎵🎵Vinyani vinyani vinyani 🎵🎵🎵🎵naimba tu. 💃💃💃
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndiyo kupenda huko kwenye shida na raha si kubadili timu kama unabadili picchu tatu kwa siku 😜😜😜

Pole vumiliaga tu.

🎵🎵🎵🎵Vinyani vinyani vinyani 🎵🎵🎵🎵naimba tu. 💃💃💃
 
Back
Top Bottom