Klabu Bingwa Afrika: Yanga 1 - 1 Al Ahly, 9 Aprili 2016

Klabu Bingwa Afrika: Yanga 1 - 1 Al Ahly, 9 Aprili 2016

Vyura FC kweli mko Next Level


Sishangai kwani hata Hispania kuna wapo mashabiki wa vitimu sijui Rayo Volcano ukiwauliza kwa nini wasishabikie Barca au Madrid majibu ni kuwa timu yao ni bora zaidi
 
Kuumia kutoka sare na karibia timu ya taifa ya Misri? Simba tumewaachia akina Ndanda na JKT Mgambo
Al Ahly siku zote ina ma-star wengi wa timu ya taifa,ila mara nyingi hapa Dar kama Simba tunacheza nao huwa tunawapiga vuzuri tu.Kuna kipindi ndani ya dk 30 za kipindi cha kwanza tuliwanywesha 3-0 wakaomba poo ili mchezo uchezwe kesho yake.
 
Mkuu Yanga hii usipoipenda ni ujeuri tu, kwa sasa ipo next level
Next level? Labda kwa African Sport Ndanda,Kagera Sugar,za huko Rwanda,Comoro,Botswana,Mauritius n.k ila si za pande za Africa ya kati,magh au kask.
 
Next level? Labda kwa African Sport Ndanda,Kagera Sugar,za huko Rwanda,Comoro,Botswana,Mauritius n.k ila si za pande za Africa ya kati,magh au kask.
wapi hata kwa ndanda FC huwa wanaomba mbeleko wapunguzwe mchezaji mmoja ndiyo washinde 2-1
 
wapi hata kwa ndanda FC huwa wanaomba mbeleko wapunguzwe mchezaji mmoja ndiyo washinde 2-1
Ha ha ha,hawa jamaa wanachekesha sana,eti wa kimataifa hata Nusu Fainali ya haya makombe wanayasikia tu kwa jirani yao sijui nani vile halafu shobo nyingii.Za hapa tu wanacheza 15 badala ya 11. Jana nilimhurumia Tambwe,yaani kumbe bora Simba ilimuacha tu maana hatupendi magoli ya offside sisi...jana yalizimwa.
 
mimi niwashauri tu,

vyura fc msipeleke timu CAIRO, Mkijifanya kichwa ngumu pelekeni ila kitakachowapata hatutaki kusikia VISINGIZIO 1000!
 
MASHINDANO: Klabu Bingwa Afrika, Raundi ya 3, Mchezo wa Kwanza

TAREHE: 9 Aprili, Saa 10 Jioni

MAHALI: Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam


Kikosi cha Ahly Kilichokuja Dar ni:

Makipa: Sherif Ekramy, Ahmed Adel na Mosad Awad.

Mabeki: Ahmed Fathi, Bassem Ali, Mohamed Hani, Saad Samir, Rami Rabia, Ahmed Hagazy na Sabri Rahil.

Viungo: Hossam Ghaly, Hossam Ashour, Amr El-Sulaya, Ahmed El-Sheikh, Walid Soliman, Moemen Zakareya, Ramadan Sobhi na Abdalla El-Said.

Washambuliaji: Malick Evouna, Amr Gamal na Emad Meteb.

KIKOSI CHA YANGA:
1. Ally Mustapha
2. Juma Abdul
3. Mwinyi Haji
4. Kelvin Yondani
5. Vicent Bossou
6. Thabani Kamusoko
7. Deus Kaseke
8. Salum Telela
9. Amissi Tambwe
10. Donald Ngoma
11. Yousouf Boubacary

BENCHI:
Deo Munishi
Oscar Joshua
Pato Ngonyani
Geofrey Mwahiuya
Simon Msuva
Paul Nonga

Mechi ndiyo imeanza na kila timu inaonekana iko makini.

Dk 1, Ngoma anawatoka mabeki wa Ahly, lakini kabla hajapiga wanaokoa na kuwa kona, inapigwa na Boubacary, anaigonga Tambwe unatoka na kuwa goal Kick.

Dk 3, Al Ahly wanafanya shambulizi la kwanza lakini Yanga wanakuwa wepesi kung'amua mbinu zao

Dk 5, Juma Abdul anapiga mpira wa adhabu, shuti kali lakini linaishia mikononi mwa kipa

DK 10, Bossou anafanya madhambi karibu kabisa na lango la Yanga, faulo.

Dk 12 hadi 14, Yanga wanaonekana kuchangamka lakini safu ya ulinzi ya Ahly iko makini sana na wamejaza watu zaidi ya watano GOOOOOOOOOO Dk 11, Amri Gamal anaipatia Yanga bao kwa kichwa baada ya kupiga mpira wa kichwa kutokana na faulo iliyowachanganya mabeki wa Yanga waliodhani angepiga shuti...

Dk 16, Yanga wanagongeana vizuri, Kamusoko anampa pasi nzuri Abdul anapiga shuti kali lakini mpira unamgonga beki na kutoka nje, kona. Inachongwa na Boubacary lakini ni kona butuuu

GOOOOOOOOO Dk 18, krosi safi sana ya Boubacary, beki Hossam Ghaly ambaye ni nahodha wa Al Ahly anautumbukiza mpira wavuni yeye mwenyewe...

Dk 21, Gamal anapiga kichwa safi akiunganisha kona lakini mpira unatoka nje kidogo. KIpa Mustapha anaonekana kukasirishwa na walinzi

Dk 22, Yanga wanafanya shambulizi kubwa, krosi nyingine safi ya Boubacar lakini anaokoa, mpira unamkuta Ngoma anapiga shuti dhaifu, kipa Shariff Akram anadaka kwa ulainiii

Dk 23 hadi 26, mpira unachezwa katikati zaidi na ilivyo ni opening game, kwani mashambulizi ni kwa zamu

Dk 27, Said anamtoka Bossou na kupiga shuti la 'akili' lakini mpira unatoka kidogo nje ya lango la Yanga.

Yanga lazima wawe makini kwa kuwa kadiri muda unavyokwenda, inaonekana Ahly ndiyo wanauthibiti zaidi mchezo

Dk 28 hadi 30, Yanga wanaotea mara mbili kupitia Yondani aliyepanda na Ngoma. Hali inayoonyesha inabidi wajipange kuutegua mtego huo

Dk 32, Yanga wanafanya shambulizi jingine safi kabisa, lakini Telela anashindwa kumalizia mpira wa mwisho, goal kick

KADI Dk 33, Kipa Akram analambwa kadi ya njano kwa kupoteza muda. Hii ni kadi ya kwanza katika mechi hii

Dk 34, hadi sasa Yanga wamefanya madhambi mara 5 na Ahly mara 4

Dk 37, Ngoma anawahadaa mabeki wa Ahly na kupiga shuti lakini kipa Akram yuko makini anadaka vizuri kabisa

Dk 38 hadi 40, Ahly wanamiliki mpira muda wote lakini wanaonekana "kununua" muda kwani wanajua kubaki na mpira ndiyo ulinzi wao.

Dk 41 hadi 45, bado inaonekana Ahly kuwazidi ujanja Yanga, wanamiliki mpira katika eneo lao au kucheza taratibu
DAKIKA 1+ YA NYONGEZA

MAPUMZIKO


Dk 46, Zacharia anamchambua Mwinyi na kupiga shuti linalogonga mwamba, ilikuwa hatari kwelikweli

Dk 49, bado Ahly wanaonekana kuwa bora kwa kujiamini zaidi huku Yanga wakionekana bado na hofu baada ya kupoteza mpira kila mara baada ya pasi mbili, tatu.

Dk 52, bado inaonekana hakuna shambulizi kubwa ambalo wamefanya Yanga katika kipindi hiki ukilinganisha na Al Ahly

KADI Dk 54, Telela analambwa kadi ya njano kwa kumuanguha Abdallah Said. Bado Ahly wanaonekana kumiliki mpira zaidi.

Dk 56, Kaseke anampa Kamusoko pasi nzuri kabisa lakini anapiga mpira juuu. Hakuwa makini wakati anajiandaa kupiga mpira huo...

Dk 58, Boubacary alikuwa akijaribu kuwatoka mabeki wa Ahly anaangushwa na kuwa faulo nje ya 18.

Dk 59 anapiga mpira huo wa Kamusoko lakini anabutua juuuuuu...!!

Dk 61, Yanga wanaonekana kupoteza mipira mingi zaidi huku kiungo chao hasa cha ukabaji kinaonekana kutokuwa na uhakika

SUB Dk 62, Geofrey Mwashiuya anaingia kuchukua nafasi ya Boubacar

Dk 65 bado mpira umepooza, Ahly wanaonekana wamewa "win" Yanga, kwani hawajafanya shambulizi kali katika kipindi cha pili huku wao wakionekana kufanya wanachotaka

Dk 66, hatari kwenye lango la Yanga lakini mabeki wa Yanga wanaokoa
Ahly wanaokoa na kuwa kona. Inachongwa lakini haina madhara

Dk 66, Ngoma anamchambua nahodha na Ahly na kuingia vizuri kabisa lakini mabeki wa

SUB Dk 68 Ahly wanamtoa Subh anaingia Waridi Suleyman
Yanga nao wanamtoa Tambwe na kumuingiza Msuva

Dk 60 na 71, Yanga wanaonekana kuchangamka hasa katikati ya uwanja, wanagongeana vizuri lakini mipango ya mwisho katika umaliziaji inaonekana kutokuwa na nguvu

SUB Dk 73 upande wa Ahly Hossan Ahour anaingia nafasi ya Hossan Hgally ambaye ni nahodha.

Dk 73, Ahly wanafanya shambulizi jingine kali, lakini Bossou anaingia na kuosha mpira 'kindava'

Dk 74 hadi 76, Yanga wanaitumia kwa kugongeana, lakini kama ilivyo kawaida wanakwenda kumalizia kwa shuti dhaifu kabisa la Haji Mwinyi. Kipa Barthez yuko chini baada ya kuumia ubavuni, anatibiwa

SUB Dk 81, Deogratius Munish 'Dida' anaingia kuchukua nafasi ya Barthez ambaye baada ya kutibiwa amechukuliwa na kuingizwa kwenye gari la wagonjwa

Dk 82, Ngoma anageuka katikati ya mabeki watatu wa Ahly, lakini shuti lake linakwenda nje

Dk 84, kipa Dida anamzoa beki wake Yondani wakati akiokoa mpira, lakini beki huyo anainua

SUB 85 upande wa Ahly, wanafanya mabadiliko ya mwisho Zacharia anatoka na nafasi yake inachukuliwa na rais wa Gabon, Malick Evouma.

Dk 86, inaonekana Ahly wameridhika na walichokitaka, lakini wanalazimika kuwa makini kwa kuwa Ahly wanaweza "kuwaotea" na kuwamaliza.

Dk 87 hadi 89 timu zaidi zinagongeana pasi ambazo hazina manufaa kwani hakuna hata moja iliyopiga shuti lililolenga lango

DAKIKA 4+ ZA NYONGEZA

Katika dakika 2 za nyongeza, Yanga wanagongeana vizuri lakini umaliziaji unakuwa ni uleule.

Evouma anajirusha na kuanguka ndani ya eneo la hatari lakini wamuzi kutoka Ivory Coast anamuambia amka twende

MPIRA UMEKWISHAAAAAAA

81f3164a-5c5b-4c5d-b5b2-cf2897254a40.jpg
unatujazia saver nawewe
Mkuu hyo wameshatupia

YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA YANGA
 
Shida nani aanze.Maana leo Simba wamezomea,ikitokea Simba nao wakicheza match za kimataifa basi Yanga nao watazomea...itaenda hivyo sijui hadi itokee nini.Leo Yanga wanajiita wa kimataifa na Simba wanaitwa wa mchangani,unategemea itatokea tofauti hapo
simba wameadvance zaid sasa hawaitwi wamchangani tena bali wamatopeni
 
simba wameadvance zaid sasa hawaitwi wamchangani tena bali wamatopeni
Ha ha,mtasubiri sana...wenyewe mnajua kinachoenda kutokea Cairo....ni nje tu.Mkienda shirikisho napo match ya kwanza tu nje...Yanga wa Kimataifa
 
Yanga kwishney, pumbavu zao. Mimi nawashangaa mashabiki na viongozi wa Yanga siku zote, kabla ya mechi yeyote muhimu watafanya matambiko ya kufa mtu huko Pemba na majigambo ya kijinga kibaooooo. Cha kushangaza, wao wanafikiri mpira unachezwa kwenye media na publicity za kijinga mitaani badala ya uwanjani. Wanakwenda Cairo ni kujipa haibu tu kwani history yao inaonyesha watarudi na makapu ya kupachikwa makombora ya kigaidi. Ushauri wangu kwao ni wasuse tu kwenda huko ili waondokane na haibu!
 
Ha ha,mtasubiri sana...wenyewe mnajua kinachoenda kutokea Cairo....ni nje tu.Mkienda shirikisho napo match ya kwanza tu nje...Yanga wa Kimataifa
simba anamuda gani anayasikia tu mashinda haya? ujio wa azam unaighalimu simba..japo mnajipendekeza eti nyie ni ndgu moja! hahaha
subiri uone hasira za azam.. mtaishia nafasi ya tatu
 
Ubingwa ligi kuu tunachukua, pamoja na kombe la FA, Alafu sisi ndo tunachagua team ya kucheza shirikisho nafasi ya shirikisho tunawapa ndanda sasa nyie wa matopeni mtasubiri sana, sie wakimataifa tunagonga mihuri tu
 
unatujazia saver nawewe

Publicity hizi za kijinga ndizo zinawakwamisha watanzania. Wengi tunajuwa Yanga mbele ya waarab si lolote wala chochote, boga tu. Wameenda kuua watu huko Pemba ili wafudhu, wapi. Kama wataenda Misri lazima watarudi na magunia ya haibu na visingizio! Ushuzi wao.
 
Yanga kwishney, pumbavu zao. Mimi nawashangaa mashabiki na viongozi wa Yanga siku zote, kabla ya mechi yeyote muhimu watafanya matambiko ya kufa mtu huko Pemba na majigambo ya kijinga kibaooooo. Cha kushangaza, wao wanafikiri mpira unachezwa kwenye media na publicity za kijinga mitaani badala ya uwanjani. Wanakwenda Cairo ni kujipa haibu tu kwani history yao inaonyesha watarudi na makapu ya kupachikwa makombora ya kigaidi. Ushauri wangu kwao ni wasuse tu kwenda huko ili waondokane na haibu!
nyie mtaendelea kupumuliwa nyuma tu..maana mkiachwa kidogo mnaanza kuwasha
 
kama ni rahisi nawew toa uwe bingwaa..domo refu kama una lamba ice cream ya mkopo!
Timu ya Manji mnamaneno kama mama wa kiswahili...subiri siku mkimtimua manji atawadai mabilioni ya kuendesha timu kwa pesa zake...
 
Publicity hizi za kijinga ndizo zinawakwamisha watanzania. Wengi tunajuwa Yanga mbele ya waarab si lolote wala chochote, boga tu. Wameenda kuua watu huko Pemba ili wafudhu, wapi. Kama wataenda Misri lazima watarudi na magunia ya haibu na visingizio! Ushuzi wao.
wamatopeni je wanalolote mbele ya vijitimu ambavya havijawahi hata kuwaza kushiriki club bingwa?
 
Timu ya Manji mnamaneno kama mama wa kiswahili...subiri siku mkimtimua manji atawadai mabilioni ya kuendesha timu kwa pesa zake...
wewe umemuona manji tu? kweli za kuambiwa changanya na za kwako
 
Back
Top Bottom