Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Mwarabu ameshatoa mahari na tumepokea.kinachofuata bibi amfuate mume wake akapigwe goli 4 apate na mimba.Mke wa mwarabu huyooo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mnaocheza kila mwaka mmefanya lipi la maana...simba anamuda gani anayasikia tu mashinda haya? ujio wa azam unaighalimu simba..japo mnajipendekeza eti nyie ni ndgu moja! hahaha
subiri uone hasira za azam.. mtaishia nafasi ya tatu
Ndoto hizo...Ubingwa ligi kuu tunachukua, pamoja na kombe la FA, Alafu sisi ndo tunachagua team ya kucheza shirikisho nafasi ya shirikisho tunawapa ndanda sasa nyie wa matopeni mtasubiri sana, sie wakimataifa tunagonga mihuri tu
tumedhirisha we are the best in Tanzania..hahahaha!Nyie mnaocheza kila mwaka mmefanya lipi la maana...
Best in Tanzania wakati mnakuwa 14 uwanjani.tumedhirisha we are the best in Tanzania..hahahaha!
Nani kama yanga Tanzania
Umasikini wenu ndo unaowaponza..Best in Tanzania wakati mnakuwa 14 uwanjani.
kama baba yako EL avyoota kuupata urais akaishia machungajiniNdoto hizo...
Habari za kusikia kwenye vijiwe vya kahawa wala hazipotei, Lini simba mlicheza na Al ahly halafu wakaghairisha mechi mpaka siku nyingine!!!! Nadhani hata timu zenyewe za Misri huzifahamu weweAl Ahly siku zote ina ma-star wengi wa timu ya taifa,ila mara nyingi hapa Dar kama Simba tunacheza nao huwa tunawapiga vuzuri tu.Kuna kipindi ndani ya dk 30 za kipindi cha kwanza tuliwanywesha 3-0 wakaomba poo ili mchezo uchezwe kesho yake.
Ndio maana hamtaki kushiriki game za kimataifa mnaiogopa Libolo fc!!!!! Na mkitokea tu mnae huyo!! Watopeni waoga sana hawa jamaa.Mwarabu ameshatoa mahari na tumepokea.kinachofuata bibi amfuate mume wake akapigwe goli 4 apate na mimba.Mke wa mwarabu huyooo!
wamatopeni je wanalolote mbele ya vijitimu ambavya havijawahi hata kuwaza kushiriki club bingwa?
nyie mtaendelea kupumuliwa nyuma tu..maana mkiachwa kidogo mnaanza kuwasha