Hana hadhi ya kucheza ligi kubwa! Kama tunavyompa hizo sifaBado sana kuwaje!? Kulimwa njano ni ni mapungufu!? Au kwa vile hajafunga zaidi ya 1 !? Safu yake ya ushambuliaji imetupia 2 huku safu yao ya ulinzi imeruhusu 6, Samatta binafs incompetence yake iko wapi hapo!?
Kweli Wakili Msomi.Marekebisho nimeshayafanya Mkuu. Mwanzoni alionyeshwa kadi nyekundu
Kwahyo UEFA ni ligi ndogo?Hana hadhi ya kucheza ligi kubwa! Kama tunavyompa hizo sifa
Kulikuwa na haja ya kutukana?Kwahyo UEFA ni ligi ndogo?
kacheze basi wewe
Pumbaff kabsa!
Tusi liko wapi hapo mkuu?Kulikuwa na haja ya kutukana?
Pumbavu ni tusiTusi liko wapi hapo mkuu?
otherwise pumbaff sio tusi ni sifa/kivumishi
Basi pole mkuu nilitaka nikufikishie ujumbe haraka japo najua hukuwa serious kumbeza Kijana SamataPumbavu ni tusi
Kwahy Brazil ni sawa na Genk?daima mwanzo mgumu....kufungwa si ajabu..hata brazil iliwahi kuchapwa 7 na Germany
Chadema huyo..... Wao hukimbiliaga mambo mabaya tu, sasa hapo alikuwa anafurahia hiyo kadi nyekundu!Hivi mnakimbiliaga nini jamani? Kwanini usisubiri mpira uishe ndipo uje na ‘uchambuzi’ wako huu uchwara?
Kadi nyekundu ilifutwa baada ya refa kujidhihirisha kupitia VAR kwamba haikuwa stahiki na badala yake kapewa ya njano pekee.
Ni kweli ni mwanzo mbaya ila bado mimi kama Mtanzania najivunia Samatta.
Wa UfipaHuu utumbo wapelekee wauza supu
Kipi ambacho hujaelewa hapo?Kwahy Brazil ni sawa na Genk?
Tanzania bhana!
Kweli mamiiiHivi mnakimbiliaga nini jamani? Kwanini usisubiri mpira uishe ndipo uje na ‘uchambuzi’ wako huu uchwara?
Kadi nyekundu ilifutwa baada ya refa kujidhihirisha kupitia VAR kwamba haikuwa stahiki na badala yake kapewa ya njano pekee.
Ni kweli ni mwanzo mbaya ila bado mimi kama Mtanzania najivunia Samatta.