Klabu imevunja mkataba na staa wa Cameroon baada ya kugundua kuwa ana HIV

Klabu imevunja mkataba na staa wa Cameroon baada ya kugundua kuwa ana HIV

Swali la kujiuliza hiyo club iliingiaje mkataba na mchezaji kabla ya vipimo?
Africa is Africa!!


Kwa hivyo baada ya kuingia mkataba na klabu kungemkinga na kumzuia dhidi ya Ukimwi.?
 
magic johnson nba players walimgomea anaweza waambukixa. na nba walimkataa baada ya kuwa confirmed ni hiv positive.... hakuendelea kucheza b ball. ila mpaka leo ans afya tele

Unyanyapaa wa Waarabu huo.

Magic Johnson kapiga kikapu miaka kadhaa huku ana HIV, na mpaka leo anadunda. Huku watu ambao hawakuwa na HIV wanakufa kila siku.

Kwa upande mwingine HIV/AIDS is real people.
 
magic johnson nba players walimgomea anaweza waambukixa. na nba walimkataa baada ya kuwa confirmed ni hiv positive.... hakuendelea kucheza b ball. ila mpaka leo ans afya tele

Earvin "Magic" Johnson Jr. (born August 14, 1959) is an American retired professional basketball player who played point guard for the Los Angeles Lakers of the National Basketball Association (NBA) for 13 seasons. After winning championships in high school and college, Johnson was selected first overall in the 1979 NBA draft by the Lakers. He won a championship and an NBA Finals Most Valuable Player Award in his rookie season, and won four more championships with the Lakers during the 1980s. Johnson retired abruptly in 1991 after announcing that he had contracted HIV, but returned to play in the 1992 All-Star Game, winning the All-Star MVP Award. After protests from his fellow players, he retired again for four years, but returned in 1996, at age 36, to play 32 games for the Lakers before retiring for the third and final time.

Magic Johnson - Wikipedia, the free encyclopedia
 
wakuu on Top Of that club yake hiyo mpya imempa sapoti sana ikiwa pamoja na malipo.

Pia Eleweni wachezaji huwa wanaishi kwa kushare vitu sana ndo maana unakuta hata maji wanapokezana kunyonya kwenye Chupa


Samuel Nlendi hatari inayoweza kutokea ni Kugogana na wachezaji wenzake wakati wa mazoezi au match na Kupasuka obvious hawawezi kukwepa kuambukizwa ugonjwa huu usikua na Tiba


Dressing room/ Team hapa jamaa atakua anashusha morali hata ya timu wachezaji wanaingiwa na woga hata kumkaba mazoezini kuna ka huruma fulani hivi wakati timu mazoezini wanacheza kwa nguvu/hard ili kujiandaa na Mechi za mashindano.


Pia mpira si lelemama any hidden weakness will be exposed hasa kwa club kubwa kama za misri huko acha hapa bongo mchezaji anaweza akachezea jina huku mazoezini anategea so kwa kumuonea huruma na incident zote hizo ni vema wakatishe mkataba.


Wachezaji katika timu huwa ni kama Mwili mmoja wanashare vitu vingi ikiwa pamoja na kufanya mazoezi ambayo wanatokwa na damu au wanapasuana wengine huchezewa rafu hadi wanavunjika miguu mazoezini.

Ingekua mcheza draft au Pool table ningesema wamuache.
 
Wameshindwa Kuwapima Wavutaji Bange, Waje Wawapime Ngoma!!!
Umeona Wapi Mchezaji Half-Time Kujivuta Chemba Na Kuvuta Bange!!!
Only in Tanzania!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha Haruna Moshi 'Boban' alivyokimbizwa na mbwa wa polisi.
 
wakuu on Top Of that club yake hiyo mpya imempa sapoti sana ikiwa pamoja na malipo.

Pia Eleweni wachezaji huwa wanaishi kwa kushare vitu sana ndo maana unakuta hata maji wanapokezana kunyonya kwenye Chupa


Samuel Nlendi hatari inayoweza kutokea ni Kugogana na wachezaji wenzake wakati wa mazoezi au match na Kupasuka obvious hawawezi kukwepa kuambukizwa ugonjwa huu usikua na Tiba


Dressing room/ Team hapa jamaa atakua anashusha morali hata ya timu wachezaji wanaingiwa na woga hata kumkaba mazoezini kuna ka huruma fulani hivi wakati timu mazoezini wanacheza kwa nguvu/hard ili kujiandaa na Mechi za mashindano.


Pia mpira si lelemama any hidden weakness will be exposed hasa kwa club kubwa kama za misri huko acha hapa bongo mchezaji anaweza akachezea jina huku mazoezini anategea so kwa kumuonea huruma na incident zote hizo ni vema wakatishe mkataba.


Wachezaji katika timu huwa ni kama Mwili mmoja wanashare vitu vingi ikiwa pamoja na kufanya mazoezi ambayo wanatokwa na damu au wanapasuana wengine huchezewa rafu hadi wanavunjika miguu mazoezini.

Ingekua mcheza draft au Pool table ningesema wamuache.
Kweli wewe umecheza Mpira km mm,hapo kosa ni kumtangaza hadharani kuwa ana tatizo,ila asingeweza kucheza hasa kwa ufanisi
 
Unyanyapaa wa Waarabu huo.

Magic Johnson kapiga kikapu miaka kadhaa huku ana HIV, na mpaka leo anadunda. Huku watu ambao hawakuwa na HIV wanakufa kila siku.

Kwa upande mwingine HIV/AIDS is real people.

Magic Johnson is HIV/AIDS propaganda missile.Hakuna ugonjwa huo duniani...huyo mchezaji naye ametumika kama scapegoat tu ili kuzindua akili za watu ambazo zimeshadharau ujinga unaoitwa HIV/AIDS....kuna watu wengi wanaotumika kuzindua akili za watu ili wawe attentive kufikiria tena HIV/AIDS iliyosahaulika kwao...wameifanya hii habari isambae ili warudishe watu waliodharau ushenzi huu kwenye mstari.

Wewe huwa unatumia logic sana unapojadili suala la uwepo wa mungu....hebu tumia logic hizohizo kudadavua kwamba HIV/AIDS ni uongo uliopindukia,ukitaka evidence nitakupatia.Watu wamefunga akili zao kufikiri kwenye hili,lakini akili ziko active kufikiri mambo mengine wayapendayo.
 
Moja kati ya habari zinazo-trend kwa siku ya leo August 29 2016 katika soka ni hii ya klabu Al Ittihad Alexandria ya Misri kutangaza kuvunja mkataba na nyota wa kimataifa wa Cameroon Samuel Nlend kutokana na kugundua kuwa nyota huyo ana HIV.

Al Ittihad Alexandria imevunja mkataba na Samuel Nlend mwenye umri wa miaka 21 kutokana na kupimwa kwa nyota huyo na kugundulika kuwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi, maamuzi hayo yamekuja ikiwa ni siku nne zimepita toka nyota huyo asaini mkataba wa miaka mitatu wa kuichezea klabu hiyo.
3af313c434a609353d517fcbb0036329.jpg


Samuel August 24 2016 alisaini mkataba wa miaka mitatu wa kuichezea klabu ya Al Ittihad Alexandria, Samuel amewahi kuichezea timu ya taifa ya Cameroon mechi tano, hata hivyo hakuna sheria yoyote itakayomzuia staa huyo kupata kibali cha kucheza soka katika nyingine licha ya kugundulika kuwa na virusi vya ukimwi.

A scapegoat for a fake disease.
 
Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu (privacy violated), ingetosha sana kusema hakufuzu vipimo. Hawa waarabu ni wa ovyo sana.
Hakufuzu vipimo ni jibu tosha kabisa hayo mengine ni uvunjifu wa privacy rights!!!
 
Magic Johnson is HIV/AIDS propaganda missile.Hakuna ugonjwa huo duniani...huyo mchezaji naye ametumika kama scapegoat tu ili kuzindua akili za watu ambazo zimeshadharau ujinga unaoitwa HIV/AIDS....kuna watu wengi wanaotumika kuzindua akili za watu ili wawe attentive kufikiria tena HIV/AIDS iliyosahaulika kwao...wameifanya hii habari isambae ili warudishe watu waliodharau ushenzi huu kwenye mstari.

Wewe huwa unatumia logic sana unapojadili suala la uwepo wa mungu....hebu tumia logic hizohizo kudadavua kwamba HIV/AIDS ni uongo uliopindukia,ukitaka evidence nitakupatia.Watu wamefunga akili zao kufikiri kwenye hili,lakini akili ziko active kufikiri mambo mengine wayapendayo.
Thibitisha. Usiseme tu.

Hizi habari nimezisikia. Hata Thabo Mbeki kashawahi kusema.

Kama unapenda kutumia logic, utajua kwamba, wanaotumia logic huwa hawasemi kitu tu.

Wanaposema kitu wanatoa logical reasons.

Wewe logical reasons za kusema HIV/AIDS haipo ni zipi?
 
Thibitisha. Usiseme tu.

Hizi habari nimezisikia. Hata Thabo Mbeki kashawahi kusema.

Kama unapenda kutumia logic, utajua kwamba, wanaotumia logic huwa hawasemi kitu tu.

Wanaposema kitu wanatoa logical reasons.

Wewe logical reasons za kusema HIV/AIDS haipo ni zipi?

Haswaa....na mimi huwa sisemi tu hovyo mpaka mtu awe tayari kusikiliza,hii ni kwasababu naepuka kupoteza muda kwa mtu asiye msikivu.

Haswaa...tena nina logical reasons za kutosha tu to back up what I say...na tena kama utatenga muda wako kufuatilia kwa ukaribu suala hili,utagundua kwamba suala hili limejaa mikanganyiko mingi sana,na hii mikanganyiko ndio inayothibitisha kwamba HIV/AIDS ni uongo wa kutupa...yaani hakuna AIDS inayosababishwa na HIV hata kidogo.

Sasa nikipata muda nitaku quote kukuelezea sababu za kisayansi na kutoa uthibitisho halisi kwamba hakuna HIV/AIDS.Pia nitakupa uthibitisho kwamba ARVs ndizo zinazoua kwa wale wanaozitumia...propaganda missiles kama Magic Johnson hawatumii ARVs kama watu wanavyoaminishwa....sasa angekua ameshakufa au mwili wake ungeshadhoofika...

Logical reasons:
1.Watu wasiotumia ARVs wanaishi wakiwa na afya njema kwa miaka yote ya maisha yao(technical) hata kama wamepimwa HIV+(mifano hii ipo mingi tu mitaani),lakini wale wanaotumia ARVs wanaanza kuonesha dalili za matatizo baada ya muda fulani kutegemea na lifestyle ya mtu.

2.Wanaotumia ARVs hufa kwa matatizo ya ini,figo,moyo/presha,anaemia,kisukari na cancer...hakuna ugonjwa specific unaosababishwa na HIV.Halafu utakuja kujua kwamba hata huyo HIV anayepigiwa kampeni hayupo,ni HIV wa vipimo tu.Refer kwamba suala hili la ku fake ugonjwa kwa kutumia vipimo si geni...fuatilia kuhusu Dr Eugene Lazowski alivyotumia fani yake ya udaktari ku fake ugonjwa ili kuwaokoa Jews kipindi cha vita ya pili ya Dunia.

Kuna sababu nyingi sana ila kwa leo nimetingwa...nitaendelea kukuthibitishia taratibu tena kwa kukupa evidence...ukisoma haya vizuri na kufuatilia kwa ukaribu utagundua kwamba HIV/AIDS is just a MINDSET disease...yaani HIV/AIDS ni kama DINI tu....watu hawajui kama kuamini HIV/AIDS ni sawa na mtu mwenye hallucinations...

Nitarudi baadaye...
 
Back
Top Bottom