Klabu kubwa 40 afrika hadi leo tarehe 25/08

kama team yako haiko kwenye list kuwa na heshima na adabu halafu kaa kimya heshimu wakubwa zako

View attachment 1907742
Hivi ile timu iliyomtambulisha mnafiki majuzi ipo wapi? Yaani viongozi wa ile timu sijuwi wana akili gani, eti wanafikiri kumpa ajira ya kubwabwaja kale kajamaa ndipo timu yao itachukua ubingwa na kuwapiku wazee wa nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…