demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Kuna baadhi ya vitu vinaweza kukufanya ujifikiria mara mbili kama ulifanya chaguo sahihi kuwa shabiki wa Simba CS. Kuna upuuzi fulani ulifanywa na Utopolo FC kwa kumbeba mhabeshi alipokuwa akiwasili uwanjani Airport akitokea Congo. Ile picha iliwachoresha sana. Kwa mtu mshamba ambaye haijui vizuri bongo anaweza akasema kweli watanzania wanapenda sana mpira, ila kwa sisi tulio ndani tumelichukulia lile tukio kama kumbusho ya enzi za utumwa ambapo tulikuwa tukiwabeba wazungu kwa namna ile.
Hapo jana msemaji wa wetu wa Klabu akiwa mbele wa watanzania takribani 60,000 elfu alimpiga busu mwanaume mwenzake, tena busu la ugotini. kitu ambacho kilichochea baadhi ya wanachama kujiona kama tumefedheheshwa, kukaa kote bongo Okwi hajawahi kupigwa mabusu na uwezo wake aliokuwa nao. leo hii unampiga mabusu Mzambia tena live kabisa. Hizi mambo za kupiga mabusu wanaume wenzako zinaenda kinyume kabisa na tamaduni za kitanzania.
Tumefanya ujinga wa zaidi ya ule wa Yanga wa kumbeba mhabeshi kwa sababu ameenda kuchukua wachezaji Vita Club.
Hapo jana msemaji wa wetu wa Klabu akiwa mbele wa watanzania takribani 60,000 elfu alimpiga busu mwanaume mwenzake, tena busu la ugotini. kitu ambacho kilichochea baadhi ya wanachama kujiona kama tumefedheheshwa, kukaa kote bongo Okwi hajawahi kupigwa mabusu na uwezo wake aliokuwa nao. leo hii unampiga mabusu Mzambia tena live kabisa. Hizi mambo za kupiga mabusu wanaume wenzako zinaenda kinyume kabisa na tamaduni za kitanzania.
Tumefanya ujinga wa zaidi ya ule wa Yanga wa kumbeba mhabeshi kwa sababu ameenda kuchukua wachezaji Vita Club.