Klabu ya JS Kabylie ya Algeria imekamilisha ujenzi wa uwanja wake

Wachambuzi wameharibu watu, kiasi wanadhani uwanja wa mechi ni muhimu kuliko facilities za timu........
GYm, hostels, academies ni vya muhimu kuliko uwanja ambao kwa msimu mzima mechi utazochezea hapo hazizidi 30.
Kama huna pambania hivyo kwanza, uwanja utakuja baadae.
Kibongo bongo Project ya uwanja ina hasara kuliko faida.
 
Ni kweli kabisa... Halafu hata kwa sasahivi bado wanapata tu hela nzuri kwa kutumia uwanja wa Taifa, kwahiyo sioni hiyo umuhimu wa kuwa na uwanja kwa sasa.

Idea yako ya supporting facilities ndo ya umuhimu sana
  • Hostel nzuri
  • Gym
  • Diet
  • Health facilities
  • Academy
etc
 
Kwa Simba uwanja wa kutosha ni 50k seats.
Hao watu 50k wanapatikana kwenye mechi zisizo fika 10 kwa msimu.
Siku zingine ni watu 5000 to 10k.

Ili hao watu wapatikane kiingilio ni 3k....

Haya hiyo project itacost Tsh ngapi? Kujenga uwanja wa watu 50k?
Je pesa iliyotumika itarudi baada ya mda gani?
Na usipowekeza kwenye uwanja unapata hasara gani?
Nadhani hivyo ni vitu vya kuzingatia kabla ya kuanza project yoyote ile.
Ila ukiwekeza kwenye miundombinu within 5 years matokeo umeshayaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…