Klabu ya Simba ikipita kwenye hili kundi nipigwe ban

Klabu ya Simba ikipita kwenye hili kundi nipigwe ban

Shauri yako.Mimi nipo stendi nabeba mizigo ya matajiri wangu wasafiri.Ila usijihaulishe.wewe ni chura aka utopolo!
Tafuta kazi ya kufanya umechanganyikiwa na maisha magumu kazana kusema chura utopolo au mbumbumbu makolo fc wenzio wanaingiza pesa wewe unaingiza njaa
 
We chura,tulia ubonyeze "kalikuleta" uelewe unafuzu vipi kwenda makundi.
Yaani Kwa akili Yako unajua Mimi ni shabiki wa hayo matimu Mimi huko nimeshatoka Sina mda napo endelea kupiga kelele wenzio wanaingiza pesa wewe unaingiza njaa pole sanaaaa
 
Yaani Kwa akili Yako unajua Mimi ni shabiki wa hayo matimu Mimi huko nimeshatoka Sina mda napo endelea kupiga kelele wenzio wanaingiza pesa wewe unaingiza njaa pole sanaaaa
Wewe ni chura unayejificha kwa Arsenal.Bloody chura wewe!🤣🤣🤣
 
Ban imeisha toa ahadi nyingine mkuu ili mwakarobo wasikuzoee kabisa
 
Back
Top Bottom