Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakuu
CAF yaifanyia Ubaya Ubwela Simba SC
==
Timu ya Simba Sports Club imeamriwa kucheza mchezo mmoja bila mashabiki na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kufuatia vurugu zilizotokea Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa mechi dhidi ya CS Sfaxien.
Adhabu hiyo itaathiri mchezo wao wa nyumbani dhidi ya CS Constantine, utakaochezwa Jumapili, Januari 19.
Soma: CAF yazuia Mashabiki Sfaxien Kwenye Mechi dhidi ya Simba
Simba SC pia imetoza faini ya dollars Elfu 40 (TSh. Milioni 100,037,200) na imetakiwa zilipwe ndani ya siku 60.
Taarifa rasmi ya Klabu ya Simba
CAF yaifanyia Ubaya Ubwela Simba SC
==
Timu ya Simba Sports Club imeamriwa kucheza mchezo mmoja bila mashabiki na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kufuatia vurugu zilizotokea Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa mechi dhidi ya CS Sfaxien.
Adhabu hiyo itaathiri mchezo wao wa nyumbani dhidi ya CS Constantine, utakaochezwa Jumapili, Januari 19.
Soma: CAF yazuia Mashabiki Sfaxien Kwenye Mechi dhidi ya Simba
Taarifa rasmi ya Klabu ya Simba