Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja 😀😀😀😀waje kiwasapoti waarabu wenzao jumamosiSafi sana, uhuni ni wa kukomesha kwenye michezo.
Kwaiyo wamefungiwa kina mchome? Mchome ni shabiki wa yanga? Ata kama alivunja mchome Ina maana yeye ndie alivunja viti 250 ndani ya dakika chache? Ebu acheni ujinga wenu basi!Ni mashabiki wa mwiko nyuma ndo walivunnja....unadhani pale walikuwepo simba peke yao..kina Mchome chura ndo walivunja
Ndo watajua hawajui.Klabu ya Simba itacheza mechi zake mbili za CAF bila ya mashabiki kufuatia vurugu zilizofanywa na mashabiki wake katika mchezo dhidi ya Cx Sfaxien. Aidha club ya 5imba imetozwa faini ya 40,000 USD ambayo inatakiwa kulipwa kabla ya tarehe 20 mwezi huu.
Ni kweli Mimi ni Simba ila walichofanya wenzetu hakikua Sawa.Safi sana, uhuni ni wa kukomesha kwenye michezo.
Wanathiiiimba.... 5imba Thiiimbaaaa 5imba Guvu Moya..Wakuu
CAF yaifanyia Ubaya Ubwela Simba SC
==
Timu ya Simba Sports Club imefungiwa michezo miwili na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) baada ya vurugu za Benjamin Mkapa mchezo dhidi ya CS Sfaxien. Mchezo wao dhidi ya CS Constantine Jumapili Januari 19 na mchezo mmoja wa robo fainali kucheza bila mashabiki wao.
Soma: CAF yazuia Mashabiki Sfaxien Kwenye Mechi dhidi ya Simba
Simba SC pia imetoza faini ya dollars Elfu 40 (TSh. Milioni 101,082,186) na imetakiwa zilipwe ndani ya siku 60.
Simba SC imepanga kutoa taarifa rasmi kwa mashabiki wao muda mchache ujao.
Ww mchone ni lishabiki lenu bwabwa lile...Kwaiyo wamefungiwa kina mchome? Mchome ni shabiki wa yanga? Ata kama alivunja mchome Ina maana yeye ndie alivunja viti 250 ndani ya dakika chache? Ebu acheni ujinga wenu basi!
Bado ni mashabiki bora...Ni kweli Mimi ni Simba ila walichofanya wenzetu hakikua Sawa.
Mungu atuepushie mbali team yetu ilikua ikisifika kwa mashabiki wazuri na heshima.
Ni funzo pia.
Bila mashabiki hamuwezi kufuzu nusu fainall 😀Jambo la maana ni kwamba tayari simba imeshafuzu.
Hivyo Simba ikishinda mchezo wa Jumapili, itaongoza kundi lake na kufanya mchezo wa kwanza wa robo fainali utachezwa ugenini. (Huko hakuna athari yoyote kwa mashabiki wake)
CAF wamefanikiwa kuharibu sherehe tu ya tarehe 19 January
Kuwaita Mosquito Mosquito MosquitoRage alkua sahihi
Siku hizi ugenini na nyumbani hamna tofauti kwa Simba pote tunapata matokeoTushazoea kucheza bila mashabiki....
Hasara kubwa! Yaani mcheze robo fainali bila mashabiki mtarajie kufuzu nusu??JAMANI HATUNA HASARA TULISHAFUZUU...NA IKAWE FUNDISHO KWA WAARABU WENGINE UCHWARA...YANI MUANZISHE FUJO MUANGALIWE TENA MKO KWA WATU TENA NA VITI MTOE....PUMBAVUUU
Kwaiyo ripoti ya polisi ilisema mchome ndio kavunja viti? Mashabiki wenu awajielewi kwani ni mara ya kwanza kuvunja viti? Tulieni dawa iwaingie na iyo ni rekodi nyingine ya ovyo mmeiweka baada ya Ile ya kuchoma moto uwanja kule afrika kusini Tena kwenye michuano iyo iyo ya wakina mama sijui uwa mna matatizo Gani nyie watu!Ww mchone ni lishabiki lenu bwabwa lile...
Nimelitolea tuu mfano....
Alieanza kutoa viti ni nani?? Ww ulikuwepo uwanjani? Ripoti ya polisi ilisemaje..
na ndo tushawabamiza na robo tumeenda...